poleni mno waliofikwa na msiba huu,again tatizo hili ufumbuzi tunao ila tunahitaji political will ili tuweze kuutekeleza,jenga speed camera za kudumu hasa maeneo ambao barabara kuu inapita,camera zinazorekodi muda amabao dereva anasafiri between point A TO B,vile vile elimu ya uraia itolewe kwa wananchi wanaoishi pembeni mwa barabara kuu kuwa lile eneo kisheria hawatakiwi kuwa wanatembea au kukatisha hizi highways isipokuwa sehemu zilizotengwa tu,traffic wetu wanatumia muda mwingi na vitochi kabla ya kuwa on the ground kuelimisha umma.
Duh huo msala wa kufunga barabara ushawah kutukumba huko mtwara aisee nilichoka mwenyewe achana na wamakonde wakichukia ni noma sana
Duh huo msala wa kufunga barabara ushawah kutukumba huko mtwara aisee nilichoka mwenyewe achana na wamakonde wakichukia ni noma sana
Duh huo msala wa kufunga barabara ushawah kutukumba huko mtwara aisee nilichoka mwenyewe achana na wamakonde wakichukia ni noma sana
kuweni makini. Hii habari ya muda mrefu sana.Duh huo msala wa kufunga barabara ushawah kutukumba huko mtwara aisee nilichoka mwenyewe achana na wamakonde wakichukia ni noma sana