Mara paaaap tunaambiwa Yanga Wana michezo 40 bila kufungwa kwenye michezo ya ndani.
Tumegeuziwa kibao Tena tunaambiwa ni kwa NBC premier league wakati huko nyuma walijumuisha ASFC
Bahati kwao wametukuta watanzania hatujambo kudaka Mambo kwa ushabiki. Naomba mwenye takwimu aweke tujiridhishe...
Naomba nitolewe tongotongo. Vipi ikitokea mpaka tarehe 25/9 ITC hazijafika kwa wachezaji wale wa3 wa Yanga je, watarusiwa kucheza mechi dhidi ya Simba ya ngao ya hisani!!!??
Nawasilisha
1. Mnaenda kulitia aibu taifa.
2. Mechi mbili tu jezi mpya za nini!!!??(Simba walipoanza mashindano CCL walitengeneza jezi mpya) wakimaanisha simba ikienda Algeria na kurudi ndio mwisho wao.
3. Mnaenda Congo mnakula hamsa tena
4.....
5.....
Igweeee!
Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu kwa msiba mzito wa taifa letu.
Najaribu kupitia mitandao lkn bado sijapata nyimbo za maombolezo.
Tushirikishane tafadhali ht kwa kutaja majina au wasanii.
Natanguliza shukrani
Kweli kabisa mi huwa nafua nguo Mara moja tu na kuzianika sababu zangu
1. Nilikuwa nafua maratatu ile Mara ya tatu nikaona tanatoka maji na povu jingi nikajua napoteza muda
2. Nguo zangu hazichafuki km enzi za shule
3. Kucheza sabuni km unafua zaidi ya Mara 1
Nguo zikiwa nyingi naonaga uvivu...
Watu hawana matumaini kwamba Stars itapata matokeo ktk mechi yoyote AFCON hivyo Basi wazee wa kuweka mzingo wamepanga 'kuiua' Stars Tena kwa stake kubwakubwa.
Nawaambia hivi, hamtaamini hi Stars ya kina Sonso itakavyofanya maajabu...
Wengi tunaona hili Jambo haliwezekani kabisaaaa.
Mimi Stars wakifuzu nitawapa nitawazawadia 20,000/= Kila mchezaji. Pia nitaanza mchakato wa kugombea Urais 2020 nitaamini hakuna kinachoshindikana hapa duniani
Weka ahadi yako tafadhali
Mchezo unatarajiwa kupigwa katika dimba la Namfua Singida
Twende pamoja
...........
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Singida United dhidi ya Yanga kwa sasa ikiwa ni mzunguko wa pili Uwanja wa Namfua, Singida umekamilika kwa suluhu ya bila kufungana.
Mashabiki wamejitokeza kwa wingi kuona...
Simba wamepeleka kikosi kamili huku Yanga wakipeleka wachezaji wachache tu wa kikosi cha kwanza. Najiuliza tu, ikitokea Simba na Yanga zikakutana aidha nusu fainali au fainali yenyewe, nini kitatokea!!??!
Ikumbukwe, kwa historia ya timu hizi, ni bora sn simba kufungwa na mashujaa na sio Yanga...
Kwanza kabisa mimi ni shabiki kindakindaki wa Simba sc. Sifurahii ushindi wanaopata Yanga lkn nawapongeza
Back to the topic
Sijawahi kusikia kwamba kuna Msimua walimaliza msimu bila kufungwa licha ya kuchukua kombe la ligi ya tz bara mara nyingi zaidi.
Swali ni je, wanaweza kuweka rekodi hiyo...
Kichwa cha thread chahusika
Kwa mwenye mawasiliano kwa mtu/mwalimu yeyote pale KCMC kwani nimetafuta katika website yao nimepata barua pepe na nilipotuma ujumbe majibu hayajanisaidia. Shida yangu kubwa nataka kusoma kozi ya ULTRA SOUND.
natanguliza shukrani
Timu ya Simba sc imepania kuiadabisha Stand United kwa kinachoelezwa ni FURAHA iliyotokana kupatikana kwa boss wa timu hiyo Mo hivyo watalazimika kumpoza na kumfariji kwa ushindi mnonoooo. Wakati huohuoSimba wataiadhibu vikali Stand kwakuwa mpk sasa watekaji wa Mo hawajaonekana. Time will tell
Katika mechi za mwisho mwisho msimu uliopita, yanga walifungwa goli tena zaidi ya hili la Ajibu. Naona hawa jamaa wamejisahaulisha kabisaaaaa as if hakuna kilichowahi kuwatokea.
Ningewaelewa wangesema kuwa Ajibu amewalipia kwa Chilunda alichowafanya
Mkumbuke pia ndio pekee iliyofungwa Hat trick...
Katika mzunguko wa pili msimu uliopita wa ligi kuu Tanzania bara (ikiitwa VPL) mchezo dhidi ya watani wa jadi ulizikutanisha timu hizo na matukio yasiyo ya kiuungwana yalitokea kama yalivyokea hivi karibuni. Katika mchezo huo, mchezaji wa Yanga Kelvin Yondani alionekana kumtemea mate mchezaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.