Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤑🤑🤑🤑😃😂😂😂Nitakula wali wa chumvi.
AiseeeeeeeeKigenge cha Zero IQ cha chips kitakuwa cha kwangu. By the way ujuwe ili kufika 16 bora zinatakiwa kutoka timu nane na ukumbuke kuna makundi sita kwahyo itatoka timu ya mwisho kila kundi na nyingine mbili zilizofanya vibaya kwahyo stars kuingia 16 bora inawezekana, ila kusonga mbele zaidi ya mpaka nane bora hapo kwakweli ni ngumu kama jiwe kumtumbu makonda.
Nitamshawishi Mzee Kilomoni na Bi Hindu wampe Mo Hati ya Mikia
Mkuu unaichukia simbaNitamshawishi Mzee Kilomoni na Bi Hindu wampe Mo Hati ya Mikia
Chuki gani Bosi?Mkuu unaichukia simba
Kilomon anaingiaje apoChuki gani Bosi?
Kumbe nyie ndio hamtaki Mo aendelee kutoa msaada Mikiani sio?Yaani Mimi nawasaidia kumshawishi Kilomoni na Bi Hindu watoe Hati wewe unaniambia nina Chuki.Kilomon anaingiaje apo
Kumbe nyie ndio hamtaki Mo aendelee kutoa msaada Mikiani sio?Yaani Mimi nawasaidia kumshawishi Kilomoni na Bi Hindu watoe Hati wewe unaniambia nina Chuki.
Aiseeeeeee,Mkuu vingapi ushatafuta mpaka uone Mua kuwa si chochote kwako?Nitatafuna Mua kwa mkundu hadharani.
Yeye ni Msemaji kwa mtu mwenye Hati ya Mikia na bila kusahau yeye pia alibeba tofali za ujenzi wa makao MakuuBi hindu anahati ya nini?