Wadau naombeni kujua gharama ya kutumia megapanels kujengea ukuta na pamoja na roofing.
Je, ujenzi huu wa kutumia mega panels na ule wa kutumia tofali na bati, upi ni nafuu?. Pia naomba kujua bei ya sheet moja kwa ajili ya ukuta na ya paa pamoja na dimensions zake.
Wadau wa JF entertainment,
Naombeni mwenye soft copy ya movie ya Endless love iliyochezwa na Brooke Shields na Martin Hewitt. Kwenye hiyo movie Brooke alitumia jina la Jade, na Martin alitumia jina la David.
Nimejaribu You-tube na alitavista, lakini wapi. Naletewa vipande vipande vifupi...
Katika kipindi cha mwezi mumoja August to September, tulizoea kusikia HIMARS ni kiboko, ooh Ukraine inaichukua donbass yote na baada ya muda mfupi inayofuata ni Crimea. Sasa hizi kelele zimezimika Kama moto wa mabua. Wayukreini wa Namanyele, Izumacheli na Kazulamimba naombeni update mambo yako...
Ukisoma katika biblia kitabu cha Matendo ya Mitume, sura ya 12 aya ya 21 hadi 23 (Mdo 12:21-23) imeandikwa: "21 Basi siku moja iliyoazimiwa, Herode akajivika mavazi ya kifalme, akaketi katika kiti cha enzi, akatoa hotuba mbele yao.
22 Watu wakapiga kelele, wakisema, Ni sauti ya Mungu, si sauti...
Nawasalimuni kwa jina la JMT
Ni muda kitambo umepita (yapata miezi minne) toka matokeo ya kidato cha NNE yatoke, lakini hadi leo selections/placements hazijatoka.
Ni vyema kasi iliyopo katika utoaji matokeo iendane sambamba na upangaji wa wahitimu kwenda kidato cha tano na vyuo vya kati. Hii...
Kwanza kabisa napenda nikupongeze kwa juhudi zako za kutatua migogoro ya ardhi nchini.
Pamoja na pongezi hizo, naomba utilie mkazo suala la upimaji ardhi kwa nchi nzima, na udhibiti wa makazi holela. Niseme tu wazi kuwa ujenzi holela na mpangilio mbovu wa makazi katika miji yote nchini ni...
Ndg. Zangu wapendwa sana JF, mimi ni baba wa familia kubwa sana ukanda huu wa maziwa makuu. Nimeamua kujenga nyumba bora ya kisasa kwa ajili ya familia ili tupate mahali pazuri pa kulala na hata nikawatambie wote mtaani walio kuwa wananibeza kwa kakibanda kangu nilikokuwa najisitiri.
Ili...
Kwanza kabisa nipende kukupa pole Ndg. Lissu kwa masahibu yaliyo kupata. Pia nikupongeze kwa kuteuliwa kwako kuwa mpeperusha bendera wa Chadema 2020.
Binafsi, pengine na Watanzania wengi kwa ujumla wetu hatupendi kuanguka kwa vyama vya upinzani ama nchi yetu kurudi nyuma katika mfumo wa chama...
Kwako waziri wa nishati mh. Kalemani, pamoja na mkurugenzi wa Tanesco.
Mh. Waziri kwanza nianze kwa kukupongeza kwa hatua kubwa ya usambazaji umeme ilipigwa na wizara yako.
Sasa naomba nijikite kwenye mada, pamoja na pongezi hizo naomba uelewe kuwa kuna watendaji wa chini wanakungusha nami...
Ndugu wanabodi leo mchana nilisikiliza kipindi cha dunia yetu DW, kulikuwa na taarifa ya kuhusu serikali kushindwa kutekeleza baadhi ya miradi kama ilivyokadriwa kwenye bajeti ya 2018/19 kutokana na wahsani kugoma kutoa fedha kama walivyo ahidi. Hadi sasa wametoa takribani bil 146 sawa na...
Hatua hiyo ya serikali imetangazwa na waziri wa kilimo mh. Japhet Hasunga alipokuwa akihojiwa na gazeti la citizen.
Waziri Hasunga kasema hatua hiyo ya kufunga akaunti hizo ni kwa lengo la kupisha uhakiki. Akitoa ufafanuzi alisema kuna baadhi waliuza kilo zaidi ya 1500 na kwa utaratibu mkulima...
Tangu press ya Mambosasa, suala race au utaifa wa watekaji limekuwa likijirudia rudia kwa waendesha press conference. Pitia pia press ya Sirro utaona pia akiingiza hoja ya watekaji kuwa ni RAIA wa kigeni.
Njoo tena leo Mo nae anarudia maneno yale yale kuwa watekaji walikuwa waongea lugha ya...
Tundu Lissu Kurejea Nchini Mwakani.....Kaka Yake Asema Risasi Iliyoko Ndani ya Uti wa Mgongo haitaondolewa
Wito wangu tuzidi kumwombea ndugu yetu TAL , afya yake izidi kuimarika. Hakika Mungu anamakusudi makubwa nawe kama suti ya wanyonge.
Yule bwana hakutaka ukalale na unyamaze milele...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa mwaliko kwa watazamani wa ndani katika uchaguzi mdogo wa ubunge na madiwani utakaofanyika Septemba 16, 2018.
NEC imealika waangalizi hao kushuhudia uchaguzi katika majimbo matatu ya Ukonga-Dar es salaam, Monduli-Arusha na Korogwe Vijijini-Tanga pamoja na...
Wanabodi, kuna mrembo mmoja tuko nae kampuni moja, ila idara tofauti ingawa midamida huwa tunakutana canteen au maeneo ya burudani.
Kwa njinsi alivyo mrembo, alinidatisha sana nikamua kumutokea. Yeye anae mume nani ninae mke, ingawa wote tuko mbali na wenzi wetu. Katika maongezi yetu kila mmoja...
Ndugu wana bodi, zikiwa ni siku kitambo jumamosi moja nikisikiliza kipindi cha meza ya duara cha idhaa ya kiswahili ya DW.
Mada ilikuwa demokrasia ndani ya vyama vya upinzani Africa. Katika mjadala ilithibitika kuwa vyama vingi vya upinzani Africa ikiwemo hapa kwetu Tanzania vimekuwa na...
Ndg. wana JF pitien makala ya Umar Mukhatar kwenye gazeti la Rai tar. 24/12/2015 kuwa taifa linapata load kuwatunza marais wastaaf kwan mda wa kukaa madarakani ni mfupi yaani 5x2, jamaa kapendekeza 7x2.pia ni fursa kwa Rais kukamilisha viporo. Let's think
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.