Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 1,706
- 2,353
Wadau naombeni kujua gharama ya kutumia megapanels kujengea ukuta na pamoja na roofing.
Je, ujenzi huu wa kutumia mega panels na ule wa kutumia tofali na bati, upi ni nafuu?. Pia naomba kujua bei ya sheet moja kwa ajili ya ukuta na ya paa pamoja na dimensions zake.
Je, ujenzi huu wa kutumia mega panels na ule wa kutumia tofali na bati, upi ni nafuu?. Pia naomba kujua bei ya sheet moja kwa ajili ya ukuta na ya paa pamoja na dimensions zake.