Nilichaguliwa vyuo viwili UDOM na Mzumbe University lakini nilikofemu kwenda Mzumbe nikijua nitapata mkopo wa kutosha kutoka bodi lakini nipewa mikopo mdogo sana .
Wanajukwaa kuna uwezekano wa kubadili chuo niende udom ambapo tution fees ni ndogo.
Wakuu mke wangu ameniuliza swali ambalo nimeshindwa kulijibu na limesababisha nianze kumhisi vibaya mke wangu. Aliniuliza hivi "Mme wangu mbona huwa huninyonyi papuchi?"
Kusema kweli kwa swali hili tata aliloniuliza nimeanza kumtilia mashaka kwamba yawezekana ana mwanaume mwingine ambaye...
Wakuu bila shaka ni wazima wote. Wiki mbili zilizopita nilikuwa na hafla fupi ambayo ilikuwa hafla isiyokuwa na muongozo wa MC. Ilikuwa hafla ambayo nilifanya kama sehemu ya kumpongeza mke wangu kwa kutimiza miaka 24. Lakin kitu kilichonichefua na kujuta kwa nini niliandaa hafla hii ni pale mke...
Wakuu nimeamua kuwauliza swali kama mkuu wetu wa nchi kama atafikisha hata asilimia 45% katika uchaguzi wa mwaka 2020.
Kwasababu nikianza kuangalia pande zote za nchi kuna vilio tupu. Wafanyakazi wanalia, Bukoba wanalia kwa kudhulimiwa hela za maafa, wabuge wanalia bila shaka mlijionea wenyewe...
TRA mwanzoni walikuwa na utaratibu mzuri tu wakusomea mapato ya kila mwezi lakin sikuhizi hawafanyi mbwebwe kama hizo. Sijui tatizo nini ndugu hebu tufamishane kwa wale wanaojua sababu.
Ndugu zangu,
Mke wangu ni mmojawapo wa mwanachuo aliyechaguliwa kujiunga na chuo fulani hapa nchini. Nimeamua kuja kuomba ushauri kwenu kwa sababu upande mmoja wa roho yangu unaniambia usimruhusu na upande mwingine unaniambia mruhusu.
Hili limetokana na tetesi nyingi zinazowahusu wake wa watu...
Bila shaka wengi wanaume tulioa tunakutana sana na kisanga hiki. Mara nyingi wake zetu wamekuwa na tabia za kutukataza kwenda kwenye mechi mbalimbali hasa zile zinazochezwa usiku. Hili limekuwa karo sana kwangu coz mke wangu anakuwa ananuna sana pale ninapolazimisha kwenda bila ridhaa yake...
Wakuu naomba msaada anayejua sifa mpya za kufanya mtihani wa kidato cha sita 2017. Kuna dogo langu nilimpeleka private school ana C tatu na D kama tano hiv lakin amekataliwa kufanya mtihani kama school candidate. Tafadhali anayejua sifa mpya za necta anijuze
Wakuu,
Mimi ni mgeni kwenye ndoa, nina kama mwaka mmoja hivi tokea nimuoe mke wangu. Lakini kitu kilichonifanya niandike huu ni kutokana na kuchoshwa na kuombwa ombwa hela na ndugu wa mke wangu.
Sijui utambiwa tusaidie hela ya kitu gani. Jamani matatizo hayaishi ukweni na huku mahari nilitoa...
Jamani nisaidieni,
Yaani kila nikiona picha nzuri za warembo kwenye mtandao wa faceebok na instigram akili yangu huwa inachanganyikiwa sana na kufanya maamuzi ya kuanza kujichua huku nikiziangalia hizo picha.
Nimeshindwa kuacha hiyo tabia naomba msaada.
Wakuu naomba dawa au ushauri wa namna ya kuutunza ulimi kwan nimekuwa na tatizo la kutokwa kama vidonda kwenye ulimi halafu na kupotea kwa muda mfupi.
Sina HIV wala kisonono na huwa natatumia antibiotic aina ya axmoxyllin yanatoka halafu ya baada ya siku chache
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza. Namuomba mweshimiwa rais atuongezee siku ya Jumatatu baada ya sikukuu ya Mei Mosi kwasababu sikukuu hiyo itaangukia siku ya Jumapili.
Hii inatokana na mkuu wetu wa kaya aliyepita alikuwa ametuzoesha hivyo kwa kutupa mapumziko hata ya siku moja sisi...
Wazima wanajamvi,
Ninamdogo wangu anatabia za ushoga ingawa mimi naishi naye mbali niliambiwa tu jamaa zangu ambao wanaishi naye.
Nilimpigia simu kwa lengo la kumkanya hiyo tabia lakini jibu alilonipa ni kwamba hawezi acha hiyo tabia coz ameanza kuingiliwa kimwili tokea akiwa shule ya msingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.