Je, Magufuli atafikisha hata asilimia 45% kwenye uchaguzi wa 2020?

mbasa ya konge

Senior Member
Nov 10, 2015
188
388
Wakuu nimeamua kuwauliza swali kama mkuu wetu wa nchi kama atafikisha hata asilimia 45% katika uchaguzi wa mwaka 2020.

Kwasababu nikianza kuangalia pande zote za nchi kuna vilio tupu. Wafanyakazi wanalia, Bukoba wanalia kwa kudhulimiwa hela za maafa, wabuge wanalia bila shaka mlijionea wenyewe juzi JK alipotua bugeni, wananchi wanakufa kwa njaa serikali haina shamba, wafanyabiashara wanalia, bashite kulelewa.

Hayo ni baadhi ya mambo machache ambayo mimi binafsi nitaendelea kutoichagua CCM maishani mwangu. CCM lazima tuipige chini 2020
 
Wakuu nimeamua kuwauliza swali kama mkuu wetu wa nchi kama atafikisha hata asilimia 45% katika uchaguzi wa mwaka 2020. Kwasababu nikianza kuangalia pande zote za nchi kuna vilio tupu. Wafanyakazi wanalia, bukoba wanalia kwa kudhulimiwa hela za maafa, wabuge wanalia bila shaka mlijionea wenyewe juzi jk alipotua bugen, wananchi wanakufa kwa njaa serikali haina shamba, wafanyabiashara wanalia, bashite kulelewa. Hayo ni baadhi ya mambo machache ambayo mimi binafsi nitaendelea kutoichagua ccm maishani mwangu. Ccm lazima tuipige chini 2020
Be patient, keep patience, wanakuja toka Lumumba!
 
Wakuu nimeamua kuwauliza swali kama mkuu wetu wa nchi kama atafikisha hata asilimia 45% katika uchaguzi wa mwaka 2020.

Kwasababu nikianza kuangalia pande zote za nchi kuna vilio tupu. Wafanyakazi wanalia, Bukoba wanalia kwa kudhulimiwa hela za maafa, wabuge wanalia bila shaka mlijionea wenyewe juzi JK alipotua bugeni, wananchi wanakufa kwa njaa serikali haina shamba, wafanyabiashara wanalia, bashite kulelewa.

Hayo ni baadhi ya mambo machache ambayo mimi binafsi nitaendelea kutoichagua CCM maishani mwangu. CCM lazima tuipige chini 2020
Embu wapinzani tuache kujitia moyo bila TUME HURU hatuwezi kushinda hta majimbo 10 hyo 2020..... kma hatudai tume huru na kwa jinsi utawala huu ulivyo hyo 2020 tutaambulia 10% so the choice is ours
 
Back
Top Bottom