Habari wakuu.....
Nina external yangu yenye ukubwa wa 500GB
Kampuni TRANSCEND tatizo lake napokua na nimeplay Videos Ghafla Video inaganda halafu inaendelea tatizo hili linanisumbua sana
Nimefanya uchunguzi na kugundua hii External ndo ina tatatizo cos nikiplay video iliyo kwenye internal disk...
Kwa bando la Voda GB.60 Yaani GB.10 kila MWEZI Kwa Miezi 6
applications maalum ambazo nitakupatia zenye uwezo wa ku bypass traffic za provider wako wa internet na kukuruhusu wewe mtumiaji kuingia internet bure bila ya kuwa na mb wala salio hii ni kwa wenye PC
Kwa gharama nafuuuu
kwa anae...
Habar wakuu....
kuna ugonjwa wa memory card pamoja na flash umeibuka unakuta flash ina ukubwa wa 16GB lakin inaingiza nyimbo 10 tu ukizidisha hazilii ukiiformat bado vile vile kwa anaejua tiba....msaada jaman..
Habari kwa wanajukwaa wa LOVE CONNECT,
Nina uhitaji mkubwa sana wa mchumba. Sio mchumba tu, aje kuwa wife so msaada wakuu.
Mimi ni kijana wa miaka 22, rangi ya Obama, ni mjasiriamali nimejiajiri. Natafuta girl mwenye miaka 18 mpaka 23, akizidi nitamfikiria.
This is a serious inssue.
Nimefanya uchunguzi sana tu kwa
dada zangu kupitia picha zanu za #fb na #insta, nimegundua kuwa hamvai kabisa nguo za ndani, hebu vaeni na
nguo za ndani basi,
yaan wote mnavaa za italy, canada,
china na nchi zingine huko,, hebu
vaeni na za ndani ya nchi yetu kama
vile BATIKI, VITENGE na...
Habar wana JF Natafuta girl alie na shida kama yang i mean natafuta mchumba miaka at least awe na 18=>23....
Mimi nina umri wa miaka 22 nina kaz inayoniingizia kipato alie tayar ani PM ni hayo 2.
Andika jina lako kwa lugha ya Kijapani,
Tafadhali Usiubadiri mchezo huu!!!
Lets laugh a bit by writing your name in
JAPANESE ALPHABET:
A= ka,
B= tu,
C= mi,
D= te,
E= ku,
F= lu,
G= ji, H= ri,
I= ki, J= zu,
K= me, L= ta,
M= rin, N= to,
O= mo, P= no,
Q= ke, R= shi,
S= ari, T= chi,
U= do, V=...
DOKTA yupo na WALEVI anawapa
ushauri wa bure kabisa Kuhusu afya
zao...!
DOKTA :- Jamani hamjui kwamba
Pombe inaua polepole?
MLEVI mmoja Akajibu :- Kwani nani kakuambia SISI tunaharaka..?
Dem: My huby...
Mimi : Yes my love...
Dem: Nakupenda... Mimi: Hata mimi najua... Dem: Baby hauna nguo za kufua?
Mimi: Ninazo mpenzi...
Dem: Nakuja hubby ila naomba
uniandalie na hela ya shopping kwa
ajili ya Pasaka!
Mimi : Sawa... => Nikatoka nikakusanya nguo za
masela mtaa mzima, kaja kazikuta...
Kizungu nacho ni sheeeeeedeeeer
Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs. Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa
hapa...
Hebu zisome hapa Tabia za Mwanaume
BAHILI na Mwenye Roho ya kimasikini.
1. Anapenda sana kuweka Coin kwenye
wallet yake, ukiiona suruali yake unajua
kajaa noti kumbe vyuma, wallet ina nusu
kilo za coin...!!! 2. Akitoa sadaka kama ni Kanisani,
ataiviringisha noti yake inakuwa kama
anatengeneza...
*Nimepitia njia ya police station,,
nikaona gari yao imeandikwa
4WD×4WD sasa mimi nikachukua marker pen nikajaza = 16W²D² ,, sahiii niko kwenye Landrover yao wamenilazimisha kupanda nadhani
wananipeleka university of dar es
salaam kufundisha hesabu*
Huwa naenjoy sana kusoma
yaliyoandikwa nyuma
ya daladala hasa ninapokuwa kwenye
foleni.
Misemo maarufu
ya kwenye daladala. 1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai
kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto 6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea...
Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na
kulikuwa na mrembo mkali hujawahi
kuona,kila kijana alikuwa akimtupia
macho,so me nilikuwa na wepesi wa
kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando
yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto
ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.