Msaada: PC nikiiwasha inajizima!

Msaada: PC nikiiwasha inajizima!

KABIDO

Member
Joined
Oct 26, 2015
Posts
74
Reaction score
117
Naombeni msaada laptop yangu imekumbwa na tatizo la ghafla, nikiiwasha inazima inajiwasha inazima inajiwasha sijajua tatizo nini naombeni msaada...
 
Iwashe ikiwa safe mode kisha futa program ulizo zi install hivi karibu...
 
piga window mpya mkuu....kama kuiwasha in form of safe mode huwezi...
dah mkuu heshima kwako bana nimeweza kuondoa tatizo mida hii la PC yangu kujirestart pasipo kumaliza japo hujanielekeza jinsi ya kuiwasha katika form ya safe mode nikaona sio vibaya ni Google tu kwa sababu umeshatoa mwongozo kwa jamaa hapo juu.
 
dah mkuu heshima kwako bana nimeweza kuondoa tatizo mida hii la PC yangu kujirestart pasipo kumaliza japo hujanielekeza jinsi ya kuiwasha katika form ya safe mode nikaona sio vibaya ni Google tu kwa sababu umeshatoa mwongozo kwa jamaa hapo juu.
KARIBU TENA...MKUUU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom