Makonda kwa sasa anafanya kazi za Taasisi nyingi
Anasaidia Majukumu ya Wabunge
Anasaidia Majukumu ya Mahakama
Anasaidia Majukumu ya TAKUKURU
Anasaidia Majukumu ya Polisi
Anasaidia majukumu MENGI MENGINEYO
ANAFICHUA MENGI YALIYOLALA
Wasalaam
Kabla magari ya KUKODISHA maarufu kama Costa hayajarasimishwa nilikuwa nashuhudia ABIRIA WENGI WAKIIMBA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO
Naukiza swali, zile nyimbo zimepitwa na wakati? Maana siku hizi ni KIMYA KIMYA
Tuna kawaida mtu akiandika kitu cha kugusa mahala fulani utasikia umetumwa
Mimi naandika haya ambayo nimetendewa na nimeona hii ni fursa ya kuwasilisha dukuduku langu
Huenda nisifunguke sana lakini ITOSHE KUSEMA MORENA HOTELS hasa Morogoro MJIREKEBISHE SANA.
Huduma zenu ni mbovu sana na za...
Pamoja na uzuri wa huduma hii kwa walio wengi lakini kuna utata mwingi hujitokeza ambao hauna majibu
Kwanza kabisa ni jinsi ya kuwasiliana na huduma kwa wateja. yaani mpaka uandike meseji hakuna kupiga hata kama una tatuzo la dharura na mbaya zaidi majibu yake huchukua muda sana
Lakini...
Hii ni Familia inayopatikana nchini Uturuki ambayo hutembea kwa kutumia miguu na mikono kwa pamoja tofauti na Watu wengine, Wanasayansi wanadai Familia hii inasumbuliwa na tatizo linalowafanya wakose balansi wakitembea kwa miguu peke yake hivyo kuwalazimu kutumia na mikono.
Inaelezwa kuwa...
Mshambulizi Hatari wa Mafarao wa Misri na Wekundu wa England Mohamed Salah amelazimika kumuomba radhi kupitia Ukurasa wake wa Twitter Binti mdogo aliyejiri Uwanjani na Bango lililomtaka awahi kufunga ili binti huyo naye awahi kufanya home work nyumbani
Hata hivyo matakwa ya Binti huyu ilibidi...
Huwa najiuliza sana hivi vituo kufungwa mlango mmoja
Kwa nini walijenga miwili?
hawaoni kero kubwa ya kuzunguuka kwa abiria/wateja wao
Je hakuna waaolipwa 'hewa' kwa huu mlango wa pili
Hii kero ya foleni si ya kujitakia?
Ongeza
Forbes Releases Top 10 Richest Men in Tanzania for October, 2018 - Page 10 of 10
Mohammed Dewji is one of the youngest richest people in the continent of Africa at just 40 years of age.
He owns a magnificent 75% stake in the METL Group which is one of the largest industrial conglomerates in...
Leo Tusafiri katika dunia ya kijamii kuangazia suala hili
Katika soma yangu ya lesoni fulani, nikaona mahali wanaume wakivua makoti yao ili kumdunda nabii (Stefano) aliyedhihaki dini yao na wakampa Kiongozi wa Uchochezi (Sauli)
Nikazama zaidi na mada hii na kukuta kumbe watu walishazama pia...
Mjue N'Golo Kante a.k.a Mkata umeme
Jina kamili; N'Golo Kante
Siku ya kuzaliwa; 29-March-1991
Miaka; 27
Mahali alipozaliwa; Paris, Ufaransa
Urefu; Meta 1.69 (Futi 5 na inchi 6½)
Nafasi; Kiungo mkabaji
Timu ya klabu; Chelsea
Jezi namba; 7
Timu ya taifa; Ufaransa
N'Golo Kante ambaye pia ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.