Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Tuna kawaida mtu akiandika kitu cha kugusa mahala fulani utasikia umetumwa
Mimi naandika haya ambayo nimetendewa na nimeona hii ni fursa ya kuwasilisha dukuduku langu
Huenda nisifunguke sana lakini ITOSHE KUSEMA MORENA HOTELS hasa Morogoro MJIREKEBISHE SANA.
Huduma zenu ni mbovu sana na za KIBABE na si mimi tu nimetendewa, hapo nimeshuhudia watu wengi wakihama kwa HUDUMA MBOVU.
Nasikitika kwa sababu hoteli bado mpya lakini huduma hazisadifu uendelevu wake........mtu unaenda kwa moyo kukaa hapo unafika mhudumu utadhani ndiye MTEJA NA WEWE MTEJA UNAGEUKA KAMA MHUDUMU.
Mlichonifanyia MUNGU ATAHUKUMU
Mimi naandika haya ambayo nimetendewa na nimeona hii ni fursa ya kuwasilisha dukuduku langu
Huenda nisifunguke sana lakini ITOSHE KUSEMA MORENA HOTELS hasa Morogoro MJIREKEBISHE SANA.
Huduma zenu ni mbovu sana na za KIBABE na si mimi tu nimetendewa, hapo nimeshuhudia watu wengi wakihama kwa HUDUMA MBOVU.
- Kubagua wateja
- Majibu ya kifedhuli na kihafidhina
- Huduma kuchelewa
- Kulisha watu vyakula vilivyooza
- Kudai pesa kila siku hata kwa mteja anayeendelea
Nasikitika kwa sababu hoteli bado mpya lakini huduma hazisadifu uendelevu wake........mtu unaenda kwa moyo kukaa hapo unafika mhudumu utadhani ndiye MTEJA NA WEWE MTEJA UNAGEUKA KAMA MHUDUMU.
Mlichonifanyia MUNGU ATAHUKUMU