Yasemekana wameshindwa kutoa pass kwa muda mrefu kwa kukosa pesa za kutengenezea machine za kuchapia.
Mimi binafsi nilijaza form za kubadili pasi yangu iliyoisha muda tangu mwaka Jana December lakini mpaka leo imekuwa nenda rudi bila mafanikio.
Baada ya kufuatilia hilo, moja wa afisawa pale...
Abelina Kitochi Mgonjwa aliyekuwa amelazwa katika wodi ya Sewahaji katika Hospitali ya Taifa Muhimbili iliyopo jijini Dar es Salaam jana akilia nje ya wodi hiyo baada ya kukosa huduma kwa siku kadhaa kufuatiwa na mgomo wa Madaktari bingwa na Wauguzi wanaogoma kuishinikiza serikali nyongeza...
Nimekuwa nikijiuliza,
Kwa nini kila mara JK anapokuwa na dukuduku hukimbilia kuongea na wazee wa jiji la Dar es Salaam.
Hivi hawa wazee ndio Habari Maelezo ya JK???
Kuna nini hapa. Mbona sijasikia akiongea na Vijana wa DSM walio wengi kuliko hao wazee.
Mwenye kujua siri kati ya JK na Wazee wa...
Nauza mafuta ya alizeti. Ni pure kutoka singida.
Hayajachakachuliwa.
Dumu la lita tano ni shi. 18,000
Na dumu kubwa 70,000
Yapo mengi ya kutosha
Wanunuzi naomba wani PM
Turkana eneo la kenya kuna njaa kali sana: watoto wanakufa na utopia mlo na watu wazima wameisha kweli:
My take
Kenya is still a poor country like TZ dont be proud and abuse TZ, let join to fight for poverty in east africa.
BWANA Richard Michael [19] Mkazi wa Ilala Maghorofani jijini Dar es Salaam, amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa tuhuma za kumnajisi mtoto wa kiume kwa kumuingizia pampu ya baiskeli sehemu za siri.
Imedaiwa na Mwendesha Mashitaka Honorina Munishi mbele ya Hakimu Careem Mushi kuwa...
Nimepitia kwa makini document hii iliyotolewa na huyu jamaa anayejiita mmiliki wa DOWANS. Nimegundua kwamba tatizo si dowans tu, bali hata watendaji wetu wa serikali tuliowapa dhamana kubwa lakini wanazitumia vibaya.
hebu pitieni hiyo press release ya huyu jamaa, mtoe comments zenu.
Misiri Bado hali ni Tete.
charge.html"]http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/news/3387731/Thugs-in-Egypt-loyal-to-tyrant-Mubarak-spark-orgy-of-violence-in-Cairo-with-camel-cavalry-charge.html[/URL]
The Corruption Perception Surveys (CPS) report published by the Concern for Development Initiatives in Africa (ForDIA) has indicated increasing levels of corruption in Tanzania during 2010.
The study conducted between March and June 2010 gauging public perception in relation to functioning...
Taarifa kwa vyombo vya Habari
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inafuatilia kwa ukaribu taarifa kuhusu uamuzi wa Mahakama ya Southwark mjini London, Uingereza kuiamuru Kampuni ya BAE Systems ya Uingereza kulipa faini ya Paundi za kiingereza laki tano 500,000 kwa kushindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.