MkimbizwaMbio
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 868
- 331
Yasemekana wameshindwa kutoa pass kwa muda mrefu kwa kukosa pesa za kutengenezea machine za kuchapia.
Mimi binafsi nilijaza form za kubadili pasi yangu iliyoisha muda tangu mwaka Jana December lakini mpaka leo imekuwa nenda rudi bila mafanikio.
Baada ya kufuatilia hilo, moja wa afisawa pale akanimegea siri hiyo.
Nadhani kuna member wengine humu wameshakutana na usumbufu kama huu.
Mwenye nyeti zaidi atujuze.
Mimi binafsi nilijaza form za kubadili pasi yangu iliyoisha muda tangu mwaka Jana December lakini mpaka leo imekuwa nenda rudi bila mafanikio.
Baada ya kufuatilia hilo, moja wa afisawa pale akanimegea siri hiyo.
Nadhani kuna member wengine humu wameshakutana na usumbufu kama huu.
Mwenye nyeti zaidi atujuze.