MkimbizwaMbio
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 868
- 331
Nimekuwa nikijiuliza,
Kwa nini kila mara JK anapokuwa na dukuduku hukimbilia kuongea na wazee wa jiji la Dar es Salaam.
Hivi hawa wazee ndio Habari Maelezo ya JK???
Kuna nini hapa. Mbona sijasikia akiongea na Vijana wa DSM walio wengi kuliko hao wazee.
Mwenye kujua siri kati ya JK na Wazee wa DSM atujuze.
Kwa nini kila mara JK anapokuwa na dukuduku hukimbilia kuongea na wazee wa jiji la Dar es Salaam.
Hivi hawa wazee ndio Habari Maelezo ya JK???
Kuna nini hapa. Mbona sijasikia akiongea na Vijana wa DSM walio wengi kuliko hao wazee.
Mwenye kujua siri kati ya JK na Wazee wa DSM atujuze.