Kutokana na haya yanayotokea chama kina jumla ya Wabunge 20 hii inamaanisha kitapata ruzuku kutokana na idadi hiyo ya Wabunge.
Ikiwa bado wataendelea kuwa Wabunge hao 19 hiyo ruzuku chama kitapokea au itagomea.
Tunanze na hili...
1: Kama kitapokea hiyo ruzuku basi watakuwa wameafiki Ubunge...
Nkuu ya msemaji wa serikali [emoji116]
Akaulizwa beberu ni nani? Akajibu: "Beberu hana rangi wala utaifa, beberu ni mtu, taasisi au taifa lolote ambalo tukiwa hatuna hospitali, barabara, madaraja, ndege na vingine muhimu kwa maendeleo wanatubeza; tukianza kuvijenga na kuvifanyia kazi wananuna...
Kulikua na ujenzi wa ofisi za BAKWATA ambao ulihamasishwa na mkuu wa mkoa wetu wa Dar na ujenzi ukazinduliwa na ahadi ilikua kufikia mfungo wa ramadhani mwaka fulani watu waanze kutumia wapitaji tujuzane mwenye kufahamu palipofikia...
Kila tawala mpya au awamu mpya inapoingia badhii ya wateule moja kwa moja wangekuwa wanajiudhulu
1 mwanasheria mkuu wa serikali
2 jaji mkuu
3 mkuu wa majeshi
4 wakuu wa mashirika
5 CAG
6 Mkurugenzi takukuru
7 wakuu wa mkioa na wilaya.
Ili anayetoka atoke na watu wake wote aliyowateua kuongoza...
Mwenye kujua mapato ya mechi ya Taifa star na uganda atujuze maana mkulu alitutonya uwezo wa kiwanja ni watu 65000 na waliongia na kubaki nje idaki haiajulikani...basi hicho kilichipatikana mwenye taarifa kamili
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliwahi masikia zaid ya mara 2 kuwa ndani ya miezi 3 atakabidhiwa Mamlaka ya Zanzibar na kumpokonya aliyepo rais Dr Shen jana na leo kabadili gia anagani! Hizo harakati zilikua za kuwahadaa wafuasi ili wasifuatilie haki yako kwa nguvu ya uma? Maalim seif ulituhakikishia kwamba nchi...
Katika kurudi nyumbani mzee Lowasa nilimuona ndg Rostom Azizi ambaye aliwahi sema anaachana na siasa uchwala bila shaka magu kaweza kuvunja makundi ndani ya chama na kurudisha nidham ya chama amabayo wengi wamemkubali...na kuona sasa ndo muda wakuungana na kufanya kazi za chama kwa usawa bila...
Mkulima anapigiwa kelele anaumia hauzi kwa faida ni hasara, mfanya biaahara wa mazao nae anapigiwa kelele kuwa eti hapati faida ni hasara, mlaji nae analalamika bei juu hawezi kumudi bei ...hakuna mwenye nafuu labda mtu kati sijui tumuitaje kupata tafsili nzuri...na kwa hali hii vip malumbano...
Kama nilivoanza hapo juu tamko la maaskof tayari limeonekana na kushabikiwa kwa kuungwa mkono na baadhi na kupingwa na baadhi ya wachangiaji, Sasa bado waraka wa maimamu wa misikiti na mashekh tuone waraka wao baada ya kumala mkutano wao bungeni karibuni.....ktk maoni yenu waislamu
Rais John Pombe Magufuli, leo mkoani Rukwa Sheikh wa mkoa wa Rukwa ametangaza kuwa waislam mkoani humo hawana imani na wewe,kwa sababu RC wa mkoa wa Rukwa kazuia ujenzi wa msikiti kwa kigezo kuwa adhana inaleta kelele katika ya mji.
Pia amesema kuwa toka uingie madarakani kila waisilamu...
Nashindwa pata majibu mepesi hivi watu matajiri kukimbilia uongozi wa kisiasa na uongozi wa nchi kwa kisingizio kuja kutetea wanyonge! Hivi kiakili tu ukweli wao upi hii sio kwa Tanzania pekee hata jirani Kenya, utakuta viongozi ndo matajiri kama Uhuru Kinyata, Raila Odinga wote matajiri ukija...
Kama nilivoanza kijana alikumbana na mitihani mingi biashara madawa kuleya yeye ,tajiri wa maroli yeye,ooh mabasi yote green star ya kwake anahisa kwenye migodi yeye na mengine mengi wazungumzaji ni watu wa upande wa pili. Leo babake kastafu uongozi na hadithi sijui zimeishia wapi.kumbe nchi hii...
Umeona yaliyotea huko Zimbabwe yakawa na ushabiki mwingi wa kisiasa na wengi waliyatolea mfano mageuzi yaliyofanyika huko na kushabikia baadhiyao hata sisi walipendezewa na kuona kama mfano yaliyotokea Zimbabwe
Tulirudi nyuma kuangalia Tatizo ni mtu mgabe au chama
Kama ni mgambe azungumziwe...
Tuna malalamiko ya hali kuwa vyuma vimekaza kwa wafanyabiashara na wajasiliamali
Wenzetu watu wa siasa vip maana kazi ya kisiasa ni kujitolea haihitaji malipo serikali inatoa ruzuku nanyi malalama kwa wengine.....
Sarikali ijiandae kuanzisha usafiri wa uma ili kuondoa usumbufu kwa wananchi na wafanyakazi hii itakuja saidia sana huko mbeleni
Tuchangie kuanzia na njia zipi
Mimi ni mmoja wa muathirika wa maandamano ya arusha yaliyofanyika siku zilizpita nilivunjiwa kioo cha gari yangu na kuibiwa laptop yangu kwa nguvu sijui wenzangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.