koyola
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 2,645
- 1,747
Tuliwahi masikia zaid ya mara 2 kuwa ndani ya miezi 3 atakabidhiwa Mamlaka ya Zanzibar na kumpokonya aliyepo rais Dr Shen jana na leo kabadili gia anagani! Hizo harakati zilikua za kuwahadaa wafuasi ili wasifuatilie haki yako kwa nguvu ya uma? Maalim seif ulituhakikishia kwamba nchi utakabidhiwa, leo kulikoni hizo kauli zako kweli nyinyi wanasiasa ni majanga kwa uhai wa watu wanaowapigania....mkijaza mitumbo yenu mnabadilika hamfai kwa kheri wala shari hufai hata kuombewa hiyo safari yako ya mabadiliko..utawahadaa tena wafuasi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app