Kulikua na ujenzi wa ofisi za bakwata ambao ulilhamasishwa na mkuu wa mkoa wetu wa dar na ujenzi ukazinduliwa na ahadi ilikua kufikia mfungo wa ramadhani mwaka fulani watu waanze kutumia wapitaji tujuzane mwenye kufahamu palipofikia...
Acha uongo bandugu, msaada ya wazungu na mashirika ya kimissionary ndo yamejenga makanisa!Waislamu !? ni kikundi gani? mbona hupenda kujinasibu kana kwamba ni kundi maalumu kuliko mengine? Huwezi Kusikia Wakristo na wengine wakijinasibu hovyohovyo kibaguzi kama waislamu kutaka kila kila kitu wapewe offer badala ya kupambana na hali zao. Wamezidi mno kuonesha unyonge wakati hawako hivyo. Wakristo kwa ujumla wao huwezi kusikia wakijinasibu kwa ukristo wao hovyohovyo hata wawapo kwenye mikusanyiko yao. Wao huchukulia watu wote ni wakristo bila kujibagua. Wanafanya maendeleo yao bila kutegemea ahadi za wafadhili.