Ujenzi wa Ofisi za BAKWATA ulioahidiwa na RC wa Dar umefikia wapi?

koyola

JF-Expert Member
May 20, 2015
2,645
1,747
Kulikua na ujenzi wa ofisi za BAKWATA ambao ulihamasishwa na mkuu wa mkoa wetu wa Dar na ujenzi ukazinduliwa na ahadi ilikua kufikia mfungo wa ramadhani mwaka fulani watu waanze kutumia wapitaji tujuzane mwenye kufahamu palipofikia...
 
Bakwata si ndio pale karubu na TX Market kinondoni kama unaenda Makaburini.

Nlionaga kuna ujenzi unaendelea mwaka jana ila sina Status ya hali ya sasa.

Na sijui kama ndo huo ujenzi unaouzungumzia
Kulikua na ujenzi wa ofisi za bakwata ambao ulilhamasishwa na mkuu wa mkoa wetu wa dar na ujenzi ukazinduliwa na ahadi ilikua kufikia mfungo wa ramadhani mwaka fulani watu waanze kutumia wapitaji tujuzane mwenye kufahamu palipofikia...
 
Waislamu !? ni kikundi gani? mbona hupenda kujinasibu kana kwamba ni kundi maalumu kuliko mengine? Huwezi Kusikia Wakristo na wengine wakijinasibu hovyohovyo kibaguzi kama waislamu kutaka kila kila kitu wapewe offer badala ya kupambana na hali zao. Wamezidi mno kuonesha unyonge wakati hawako hivyo. Wakristo kwa ujumla wao huwezi kusikia wakijinasibu kwa ukristo wao hovyohovyo hata wawapo kwenye mikusanyiko yao. Wao huchukulia watu wote ni wakristo bila kujibagua. Wanafanya maendeleo yao bila kutegemea ahadi za wafadhili.
 
Waislamu !? ni kikundi gani? mbona hupenda kujinasibu kana kwamba ni kundi maalumu kuliko mengine? Huwezi Kusikia Wakristo na wengine wakijinasibu hovyohovyo kibaguzi kama waislamu kutaka kila kila kitu wapewe offer badala ya kupambana na hali zao. Wamezidi mno kuonesha unyonge wakati hawako hivyo. Wakristo kwa ujumla wao huwezi kusikia wakijinasibu kwa ukristo wao hovyohovyo hata wawapo kwenye mikusanyiko yao. Wao huchukulia watu wote ni wakristo bila kujibagua. Wanafanya maendeleo yao bila kutegemea ahadi za wafadhili.
Acha uongo bandugu, msaada ya wazungu na mashirika ya kimissionary ndo yamejenga makanisa!
 
Back
Top Bottom