Wewe ni mjinga, Mwenyekiti wa Yanga ni Mshindo Msola, CEO ni Senzo.Sijamuona haji manara kwenye mkutano wa TFF na vilabu,kulikoni?
Mkuu wewe hapa ndiye unaonekana mjinga.Wewe ni mjinga, Mwenyekiti wa Yanga ni Mshindo Msola, CEO ni Senzo.
Sijui hizi shule mlienda kusomea ujinga?
Wewe ni mjinga, Mwenyekiti wa Yanga ni Mshindo Msola, CEO ni Senzo.
Sijui hizi shule mlienda kusomea ujinga?
Simba ni Simba na Yanga ni Yanga, kila timu ina mifumo na management yake.View attachment 1947390
Punguza mhemko
Wewe ni mjinga, Mwenyekiti wa Yanga ni Mshindo Msola, CEO ni Senzo.
Sijui hizi shule mlienda kusomea ujinga?
Daktari alishauri tusiwaudhi utopolo. Mnaona sasa yanayotokea humu. Uto kama uto 🤣🤣🤣Bro msukule akili huwa zimechotwa hawajui walifanyalo ni wakuhurumia tu
Mwenyekiti wa Yanga ni Mshindo Msola, CEO ni Senzo.
Kwani ulikuwa mkutano wa TFF na wasemaji wa clubs?
Kwani ulikuwa mkutano wa TFF na wasemaji wa clubs?Sijamuona haji manara kwenye mkutano wa TFF na vilabu,kulikoni?
Inabidi uwaulize pia kwa nini una gari yako na umelia kodi zote lakini unasimamishwa saa nzima barabarani kusubili mtu mmoja apite kwanza?Out of topic
Hivi kwa nini hawauzi ticket za VIP A? nini kimetokea, wanasema kuna watu maalum wataalikwa, why? Sisi tunaotaka VIP A na hatujaalikwa inakuwaje
Ndugu yetu aliyetuasi anatumia nguvu nyingi sana hadi kuwa mhamasishaji wa wachezaji ndani ya uwanja ili approve kuwa yeye ndio sehemu ya ushindi wa Simba.lakini pia kocha ni Nabi, lakini Msukule alikuwa ndio mtoa maelekezo ya kiufundi na kiutawala kule Nigeria
View attachment 1947883
View attachment 1947884