Mkuu rekebisha heading twende Sawa, papara ya nn?Tuna malalamiko ya hali kuwa vyuma vimekaza kwa wafanyabiashara na wajasiliamali
Wenzetu watu wa siasa vip maana kazi ya kisiasa ni kujitolea haihitaji malipo serikali inatoa ruzuku nanyi malalama kwa wengine.....
Mkuu inapatika CRDB na Dr Kimei ndio anatoa, ila vigezo na masharti kuzingatiwa.Jaman naomben muulizeni mkulu grisi inapatikana wapi nije kulainisha vyumaaa
Kama kuna mashart basi vyuma vyangu lazma vimalizwe na kutuuuMkuu inapatika CRDB na Dr Kimei ndio anatoa, ila vigezo na masharti kuzingatiwa.
Vyuma lainiiiii ....misheni town vimekaza
Mashine iliachwa na mkoloni?, kabla ya uhuru?
Duh, Hiki chuma hakijakaza, ila kina kutu. Ikiwezekana kipeleke makumbusho tu hata uweke gris hiki hakitafanya kazi.