koyola
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 2,645
- 1,747
Kama nilivoanza kijana alikumbana na mitihani mingi biashara madawa kuleya yeye ,tajiri wa maroli yeye,ooh mabasi yote green star ya kwake anahisa kwenye migodi yeye na mengine mengi wazungumzaji ni watu wa upande wa pili. Leo babake kastafu uongozi na hadithi sijui zimeishia wapi.kumbe nchi hii wanasemwa watu wakiwa kwenye uongozi wa juu tu ukitoka na yako yametoka.
Pole Riz hatukujua.
Pole Riz hatukujua.