Kati pita pita zangu mikoa tofauti nimeshakutana na magari katha ya mebeba hicho kifaa mfano Arusha, mwanza, Kilimanjaro .
Wakuu kama kuna mtu mwenye uelewa naomba atupe maelezo.
A) jina la hicho kifaa
B)matumizi yakee?
C) na kina fanya je kazi?
Wakuu pita pita zangu kule Instagram nimekutana na post ya Dulla wa planet bongo akishukuru uongozi wa East Afrca kwa kumkabidhi gari aina ya marcediz benz hii ni baada ya kukitumikia kituo hicho miaka 12.
Je, hii ni mbinu mpya East Africa redio wamekujanayo baada yakuuona watangazaji wao wana...
Wakuu,
Nimejikuta nashindwa kuimba nyimbo ya taifa nakubaki nikihuzunika. Pia nimeshindwa kuimba ile nyingine "Tanzania ×2 nakupenda kwa moyo wote.
Nafsi yangu imegoma kabisa.
Nawasilisha.
Moja ya nyimbo nzuri za rnb singer ben paul
Huu wimbo mi nauona watofauti coz
1)hii nyimbo tangia itokee haija chujaa masikioni kwangu ukilinganisha na nyimbo nyingine hua na choka kusikiliza mapema mno
2)nimoja ya kati ya nyimbo lyrics zake ziko kwa mtiririko...maluum
Na wasilishaa....
Mimi ni mdau mkubwaa sana wa mziki sana. Huwa napenda kufuatilia kila mwanamziki awe mdogo au awe mkubwa.
Tatizo lina kujaa palee baadhi ya wanamuziki wanapotoa music video utasikia anaenda ku premiere video kwenye vituo vingine vya out na Bongo utadhani Tz hakuna music television. Na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.