Klabu ya Ndanda ya Mtwara imetangaza kujitoa katika Ligi Daraja la Kwanza (Championship), huku sababu ikielezwa ni ukata kiasi Cha kushindwa kumudu gharama za kujiendesha.
Ndanda imekuwa haifanyia vizuri kwenye ligi hiyo kuanzia mwanzoni na sasa inaonekana kuamua kuachia ngazi rasmi.
Timu hiyo...
Mimi naanza na hizi.
1. Mpanda (Katavi) ~ Hapa Mpanda ni maarufu kuliko mkoa husika wa Katavi, Sumbawanga (Rukwa). Hapa utasikia mtu anakwambia ninaenda Sumbawanga yaani huwezi kusikia mtu akikwambia anaenda Rukwa kamwe.
2. Bukoba (Kagera) ~ Bukoba ni maarufu sana kuliko Kagera yenyewe...
Nipo Mbeya hapa kuanzia Uyole, Rungwe, Kyela, Chunya na kila ninapopita napishana na wakinamama wana ndevu. Sasa sielewi jamii za huku ndo walivyo au...au Kuna mkoa mwingine wapo kama huku maana ndevu tena kwa mtoto wa kike mbona naogopa aisee..
Huko kwenu vipi?
Takribani jezi elfu arobaini na mbili za mabingwa wa Tanzania Simba sports club zimepigwa bei kwa siku moja.
Hii ina maana kwamba ikiwa kila jezi imeuzwa kwa 30,000 basi almost 1.26Billions zimeingia kutokana na jezi.
Naona kabisa vunjabei amepiga mshindo mkubwa kwenye hili dili na anatamani...
Hii ni vita Kati ya mashabiki wa timu moja wengine wakiamini kwenye uwezo wa kagere na wengine wakimuamini Mugalu.
Vita ilienda mbali zaidi hasa wakimshutumu kocha kuwa ana kaugomvi na baadhi ya muwakilishi wa mchezaji Fulani kwenye hii vita, all in all vita hii ishaanza kutoa taswira kamili...
Habarini za muda huu?
Leo nimeamua kuja na hii kitu ambayo inatokea kila uchwao.
Kila harusi niliyowahi kuhudhuria na hata zile ambazo sihudhurii bali nangalia kwenye kideo naonaga lazima bibi harusi amwage chozi.
Yaani either iwe katikati ya shughuli au mwanzo au hata mwisho lazima alie...
Haya leo tufanye ni siku ya kudedicate mtu yeyote kwa kutumia rangi, taja jina la mtu yeyote kwenye platform then mpe rangi yake unayoona anastahili kwa upande wako..
Hizi ndizo rangi zitakazotumika
1.orange - happiness
2.yellow - friendship
3.red - love
4.white - peace
5.black - hate
6.purple...
Ikitokea kuna mtu anajitokeza kununua ID za jf, wewe yakwako utaiuza kwa shilingi ngapi?
Don't be bias, sema tu kwa uonavyo wewe thamani ya ID yako kwenye platform hii.
Maana kuna watu walijitokezaga kununua baadhi ya ID huko ughaibuni kwenye platform moja ya kijamii inayofanana na hii sasa...
Eti kwa pamoja leo tudiscus hii kitu, hivi nyie wadada sijui tuwaite masistaduu au walimbwende nauli ya kutoka buza hadi buguruni rozana ni sh.400 tu ila sasa kila uchwao mkiitwaga maghetoni utasikia nitumie nauli.
Ebu mtuambie leo kwanini huwa mnakosaga nauli pindi mnapoitwa maghetoni, ni...
Ukitembelea maduka ya simu utakuta simu fulani inauzwa kwa sh. 199999 nyingine labda 149999 au 249999.
Swali linalolitatiza mimi ni kwamba hizi hela zipo kweli au yaani ukishanunua hiyo shilingi moja unaipata wapi.
Au kwa waliowahi kununua je huwaga wanawarudishia chenji iyo shilingi moja au...
Izi ni tetesi tetesi tu kwamba asilimia kubwa ya wadada humu ni kutoka uswazini yaani akina mwajuma ndalandefu na chausiku.
Eti kwamba wadada wa ushuani wao ni insta na twitter ukimwambia Jf haijui,
Eti kwamba wadada wa ushuani wana vijiswaga vya kudekadeka tofauti na humu wengi ni wagumu...
Wanyabi wazima!!
mi nahitaji kujua what really goes on in the ladies minds hasa wanapokua wanakataa mnyanduano.
Hii hasahasa anapokuwa amekuja ghetto fresh, yupo dressed fresh tu na anaonekana yupo ready for being pumped.
Mara paap umemtachi tachi na anaonesha kabisa umemlegeza, sasa unakuta...
Mimi binafsi sauti langu nalichukia yaani unakuta siku lisauti linakuwa lizito kama umemeza kokoto, cha kushangaza eti kuna lidada limoja huwa linaniambiaga anapenda sauti yangu ilivyo yani hadi namshangaa.
Hivi mnapendea nini sauti nzito yaani inakuwa inawapa feeling gani sisi wenyewe...
Wajameni eeeh siku ndio hizo zinajivuta, Hebu leo fanya kuchagua wa kwenda kutembea nae siku ya valentine kutoka humu humu Jf.
Na ukimchagua anaweza kukubali au kukataa pia na ikitokea mpo wengi basi ana wajibu wa kumchagua mmoja.
HAYA TWENDE KAZI
Jamani dada zetu eeh leo ngoja tuwaambie, kwanza kuolewa ni heshima sana na ukimuona mtu anakuoa kwanza kakueshimu sana kama mlikuwa hamjui.
Sasa basi sisi wanaume tunamuogopa sana mwanamke anaependa kutupia uume kinywani, yaani umepigwa pipe mbili tatu mara unaushika mkuyenge unautupia kwenye...
Kila mtu ana weakness yake sasa ebu tuseme leo tuone kama hivi vitu huwa vinafananaga kwa wengi.
Mimi bhana weakness yangu ni churaaa yani churaaa nikipishana na mkia haswaa lazima nigeuke nyuma niutathmini.
Nani anasemasema kuhusu wanaume wa Dar, basi sahau hiyo kitu kuanzia leo anza kusema wanawake wa Dar. Yaani hata kidume uwe na ugwadu wa miaka 10 nyie wanawake wa Dar hivi vitu havivumiliki.
Wigi liko kichwani week 3 na halijapitishwa maji siku zote hizo, umepiga mkorogo ngozi inanuka kemikali...
Ushawahi kujitekenya mwenyewe mbele ya umati?
Yaani sijawahi kuona futuhi na comedy nzito kama hii walahi.
Simba Super Cup: BINGWA (Simba)
Mchezaji Bora wa Mashindano: Rally Bwalya (Simba)
Golikipa Bora: Beno Kakolanya (Simba)
Mfungaji Bora: Bernard Morrison (Simba)
Mchezaji bora mechi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.