Eee haya mambo hayaHakuna siri yeyote ni utapeli tu mtu atajitokeza kuzinunua then atakuwa anaziuza kwa bei mbaya sana huku mwingine akijitokeza kuwa atazinunua kwa bei ya hatari mwisho wa siku ni game plan ya mtu mmoja huyo huyo na mtapigwa sana, acha mie niendelee kulinda geti la mhindi hapa
Nadhani ni imani tu za watu. Hizi notes zipo nyingi tu na zinapatikana, huyo anayetoa milioni yuko wapi?, wanahusisha na imani za kishirikina?Hii pesa sasaivi mtu yupo tayari akupe hata milioni ili umpatie hii pesa. Ina kitu gani cha ziada wenye kuelewa nasi watujuze.View attachment 2470151
Nakusalimia kipenziWee😳,sema kweli?
Kipigo tu hakuna loloteHii kitu niliiona kuna siku nilikuwa nayo hii hela nikaambiwa na rafiki yangu nipe hiyo hela itaniletea mamillion kiukweli nilishangaa nikampa
Baadae sasa namsikia anaongea na simu anaambiwa hii ina kitu gani sijui sio yenyewe yaani nilichoka kumbe hizi noti za mia 500 zipo tofauti
Niko poa wanguNakusalimia kipenzi
Labda wakinga wanamchukua huyo nyoka
U..d...a...ga..Labda wakinga wanamchukua huyo nyoka
Ngoja nimfate insta nimuulize kama anahitaji 😂fredy vunja bei