Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Ukitembelea maduka ya simu utakuta simu fulani inauzwa kwa sh. 199999 nyingine labda 149999 au 249999.
Swali linalolitatiza mimi ni kwamba hizi hela zipo kweli au yaani ukishanunua hiyo shilingi moja unaipata wapi.
Au kwa waliowahi kununua je huwaga wanawarudishia chenji iyo shilingi moja au inakuwaje kwenye hii kitu.
Wenye uzoefu mtujuze.
Swali linalolitatiza mimi ni kwamba hizi hela zipo kweli au yaani ukishanunua hiyo shilingi moja unaipata wapi.
Au kwa waliowahi kununua je huwaga wanawarudishia chenji iyo shilingi moja au inakuwaje kwenye hii kitu.
Wenye uzoefu mtujuze.