Tuzitambue Wilaya maarufu kuliko mkoa hapa

Babumawe

JF-Expert Member
Sep 12, 2014
2,556
2,560
Mimi naanza na hizi.

1. Mpanda (Katavi) ~ Hapa Mpanda ni maarufu kuliko mkoa husika wa Katavi, Sumbawanga (Rukwa). Hapa utasikia mtu anakwambia ninaenda Sumbawanga yaani huwezi kusikia mtu akikwambia anaenda Rukwa kamwe.

2. Bukoba (Kagera) ~ Bukoba ni maarufu sana kuliko Kagera yenyewe, inatokana pia na kabila linalopatikana Bukoba kuwa na umaarufu mkubwa na kusambaa sehemu mbalimbali.

Musoma (Mara) ~ Umaarufu wa Musoma unalingana na ule wa Bukoba, Moshi (Kilimanjaro). Hapa ndiyo kabisa yaani mtu ukimuuliza upi mkoa kati ya Moshi au Kilimanjaro lazima atababaika kujibu.

Kama kuna wilaya zingine maarufu kuliko mkoa basi zitaje.
 
Mimi naanza na hizi.
1.Mpanda (Katavi)~hapa mpanda ni maarufu kuliko mkoa husika wa katavi
Sumbawanga (Rukwa),~ hapa utasikia mtu anakwambia ninaenda sumbawanga yaani huwezi kusikia mtu akikwambia anaenda Rukwa never.
2.Bukoba (Kagera) ~ bukoba ni maarufu sana kuliko Kagera yenyewe, inatokana pia na kabila linalopatikana bukoba kuwa na umaarufu mkubwa na kusambaa sehemu mbalimbali
Musoma (Mara)~ umaarufu wa musoma unalingana na ule wa bukoba
Moshi (Kilimanjaro)~ hapa ndo kabisa yaani mtu ukimuuliza upi mkoa kati ya Moshi au Kilimanjaro lazima atababaika kujibu.

Kama Kuna wilaya zingine maarufu kuliko mkoa basi zitaje.
Songea ina jina kuliko mkoa.
 
Mimi naanza na hizi.
1.Mpanda (Katavi)~hapa mpanda ni maarufu kuliko mkoa husika wa katavi
Sumbawanga (Rukwa),~ hapa utasikia mtu anakwambia ninaenda sumbawanga yaani huwezi kusikia mtu akikwambia anaenda Rukwa never.
2.Bukoba (Kagera) ~ bukoba ni maarufu sana kuliko Kagera yenyewe, inatokana pia na kabila linalopatikana bukoba kuwa na umaarufu mkubwa na kusambaa sehemu mbalimbali
Musoma (Mara)~ umaarufu wa musoma unalingana na ule wa bukoba
Moshi (Kilimanjaro)~ hapa ndo kabisa yaani mtu ukimuuliza upi mkoa kati ya Moshi au Kilimanjaro lazima atababaika kujibu.

Kama Kuna wilaya zingine maarufu kuliko mkoa basi zitaje.
Maeneo mengi yanatumika kuwakilisha jina la mkoa mzima na siyo mahali au ni jina la mto, mlima nk.

Mfano, Kilimanjaro wengi wanajua ni ule mlima, Kagera ni mto, Ruvuma ni mto. Mikoa mingi ukienda hakuna mahali panaitwa hilo jina la mkoa.

Kitakacho beba umaarufu wa eneo hilo itakuwa makao makuu ya mkoa au eneo lililoendelea sana kupita maeneo mengine ya mkoa husika.

Kama hauamini nenda stendi yoyote ya magari ya mkoani sema nataka tiketi ya kuelekea Kilimanjaro au Kagera.
 
Mimi naanza na hizi.

1. Mpanda (Katavi) ~ Hapa mpanda ni maarufu kuliko mkoa husika wa Katavi, Sumbawanga (Rukwa). Hapa utasikia mtu anakwambia ninaenda Sumbawanga yaani huwezi kusikia mtu akikwambia anaenda Rukwa kamwe.

2. Bukoba (Kagera) ~ Bukoba ni maarufu sana kuliko Kagera yenyewe, inatokana pia na kabila linalopatikana Bukoba kuwa na umaarufu mkubwa na kusambaa sehemu mbalimbali.

Musoma (Mara) ~ Umaarufu wa Musoma unalingana na ule wa Bukoba, Moshi (Kilimanjaro). Hapa ndiyo kabisa yaani mtu ukimuuliza upi mkoa kati ya Moshi au Kilimanjaro lazima atababaika kujibu.

Kama kuna wilaya zingine maarufu kuliko mkoa basi zitaje.
we elimu yako ni kiwango gani. kuna mji unaitwa Katavi? Kuna mji unaitwa Mara? na Kilimanjaro je? Vijana jielimisheni muelewe mambo madogo km hayo.
 
Mimi naanza na hizi.

1. Mpanda (Katavi) ~ Hapa mpanda ni maarufu kuliko mkoa husika wa Katavi, Sumbawanga (Rukwa). Hapa utasikia mtu anakwambia ninaenda Sumbawanga yaani huwezi kusikia mtu akikwambia anaenda Rukwa kamwe.

2. Bukoba (Kagera) ~ Bukoba ni maarufu sana kuliko Kagera yenyewe, inatokana pia na kabila linalopatikana Bukoba kuwa na umaarufu mkubwa na kusambaa sehemu mbalimbali.

Musoma (Mara) ~ Umaarufu wa Musoma unalingana na ule wa Bukoba, Moshi (Kilimanjaro). Hapa ndiyo kabisa yaani mtu ukimuuliza upi mkoa kati ya Moshi au Kilimanjaro lazima atababaika kujibu.

Kama kuna wilaya zingine maarufu kuliko mkoa basi zitaje.
Sijaelewa
 
Back
Top Bottom