Habari Wana JF,
Adhabu inasemaje kwa mtu ambaye amekamatwa na baadhi ya vitu vya wizi. Je, anatakiwa kulipa vyote au kurudisha hivyo alivyo kamatwa navyo?
Kisa kipo hivi, kuna mtuhumiwa alikamatwa na vitu vya wizi ye akadai aliuziwa lakini ushahidi ulikuwa unaonesha aliiba kesi ilikuwa ni ya...
habari wana jamii....
Msaada kwa wenye uelewa na hili.
Ktika pitapita zangu mtandaoni na kwenye magazeti nikiangalia exchange rate za kila siku kwa kila nchi naona thamani ya fedha yetu ipo chini zaidi kiasi kwamba haijapishana sana na hela ya Zimbabwe(zim dola)ambayo naona hata wenyewe...
habari wana jamii...
Naomba msaada jinsi ya kupata kibari cha kutoa tiba mbadala au taratibu za kufuata ili kufungua helbal clinic........pia naomba mwenye website ya baraza la tiba asili na tiba mbadala anisaidie.
natanguliza shukurani
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam wanajukwaa,
Najua wengi mtabeza sababu ya hizi nguvu za soda wengine mtasema kwanini asiwe Nyerere na wengine bado wamekariri kare kanadharia ka Mkapa ndio alikuwa bora akifuatia kutoka kwa Nyerere na wengine na ambao niwengi zaidi bado wanaamin Mwinyi hakuwa bora.
Nianz na list ya...
Mkutano huo utahusisha uzinduzi wa salon ya kiume iliyopo stendi ya malori mjini Vwawa na bodaboda mpya tatu. Miradi hiyo mipya ni miongoni mwa miradi ambayo tayari ilishazinduliwa miezi miwili iliyopita.
>Miradi inayomilikiwa na ACT Mbozi ambayo tayari ilishazinduliwa ni:
*Kikundi cha...
*Form six wa 2015 waliita form two bila kuchujwa hali iliyo pelekea matokeo yao kuwa mabaya na kurudiwa kusahihishwa.
*Form six wa 2015 wengi wao walipita form four baada ya matokeo yao kurudiwa kusahihishwa au baada ya remix
*Sera ya BRN imepoteza mvuto na kukaririwa na watu kama ina aribu...
Habari wachumi,
Gari tajwa hapo juu zinapatikana kwa wingi katika Kampuni ya uuzaji wa Magari Ijurikanayo Kama KK.AUTOWORLD yenye makao yake makuu nchin Japany Jijini Nagoya.
Pia tuna matawi katika sehem mbalimbali za afrika kama South africa, Malawi, Mozambique,Botswana,Zimbabwe,n.k
Pia...
Harakati za act mbozi ktk kutafuta mabadiliko zimezidi kuwa kivutio kukibwa kwa wapenda mabadiliko na kuwafanya kukubalika karibu na vyama vyote nchini.
Na kwa uchunguzi uliofanywa na wanafunzi wa vyuo vikuu vya inchini tanzania act imeonekana kuwa ndo chama pekee pinzani kutokana na kufuata...
Baada ya dhiara ya viongozi wa kitaifa wa ACT sasa ni ratiba ya mkutano wa kipekee utakao ambatana na kuwatambulisha watangaza niya ya Ubunge na Udiwani.
Mkutano huo pia utahusishwa na kuwa pokea wanachama sitini kutoka CHADEMA na ambao kati yao walikuwa watangaza nia ya Ubunge CHADEMA...
Habari Wana Jamvi?
Hivi Kwanini Paka Dume Wana Tabia Ya Kupotea? Na Je Wakipotea Huwa Wana Elekea Wapi??
Kuna Uhusiano Gani Uliopo Kati Ya Paka Dume Na Imani Za Kishilikina?
Kichwa Kina Jieleza Hapo Juu.
Mkutano Wa Kumuengua Ulifanyika Katika Ukumbi Wa Shimoni Village Na Kuhudhuliwa Na Wanachama Akiwemo Katibu Wake Ambaye Aliongoza Mapinduzi Hayo.Na Nafasi Hiyo Ili Tangazwa Kwa Anaye Taka Kugombea.Na Baadhi Ya Wajumbe Walichukua Fom.Uchaguzi Utafanyika Kesho J'mosi...
Salaam
Naitaji Msaada Kwa Yeyote Mwenye Kukijua Chuo Hiki.
Kuna Jamaa Amenishauri Nikapige Pale Na Mimi Na Mpango Wa Kusoma Md Nina Ufaulu Wa Div Three Ya Point Kumi Na Tatu Pcb.
Kwa Anaye Jua Jinsi Ya Kujiunga,ada Na Mazingira Msaada Tafadhari.
Asalaam Aleykum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.