Wa Igima
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 376
- 110
habari wana jamii...
Naomba msaada jinsi ya kupata kibari cha kutoa tiba mbadala au taratibu za kufuata ili kufungua helbal clinic........pia naomba mwenye website ya baraza la tiba asili na tiba mbadala anisaidie.
natanguliza shukurani
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada jinsi ya kupata kibari cha kutoa tiba mbadala au taratibu za kufuata ili kufungua helbal clinic........pia naomba mwenye website ya baraza la tiba asili na tiba mbadala anisaidie.
natanguliza shukurani
Sent using Jamii Forums mobile app