Wakuu Sina mambo mengi, naombeni uhakika wa utoaji wa mkopo toka Tala online loan.
Niko kwenye Mazingira ambayo nahitaji pesa na nimekutana na matangazo Yao online nikaona wanaweza kuwa msaada katika kipindi hiki nachokipitia.
Vipi wakuu Hawa Tala online loan ni really au chqnga la macho
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambayo fertility rate iko juu sana. Kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2012 kila familia ilikisiwa kuwa na average ya watoto 5.
Takwimu za kiuchumi mara nyingi zimeonya ongezeko la watu nchini haliendani sawa na ukuaji wa uchumi wetu na kusihi mamlaka husika kuchukua...
Hello JF hebu njooni tusemezane ki-roho safi kabisa.
Unakuta mzee alikuwa irresponsible kazaa watoto wengi na hakuhusika kuwajengea msingi wa maisha.
Fainali inakuja uzeeni, amezeeka hana nguvu tena, wanaye wamemletea mzigo wa wajukuu nyumbani, halafu anaanza kumtegemea lets say kijana wake...
Kati ya kauli ambayo hutumiwa na wanywaji ni ile inayosema "Tukutane Mtakuja Bar ili nikupe mchongo"
Hivi michongo hiyo huwa ni ipi ambayo mtu akiwa hanywi pombe hawezi kupewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ripoti ya dunia ya nchi ambazo watu wake wana furaha ya mwaka 2019 imetolewa.
Hapa chini ni nchi 10 bora ambazo raia wake wana furaha na zile amabazo raia wake hawana furaha.
Kwa mwaka 2019 nchi amabazo wananchi wake wana furaha zaidi ni:
1. Finland
2. Denmark
3. Norway
4. Iceland
5...
Ukiamua kujilipua, make sure mchepuko unakua kisu hadi mpenzio akiuona yeye mwenyewe anakubali kimoyo moyo kuwa hapa ata angekua yeye ndo wewe asingeacha nafsi hiyo.
Ni haibu kubwa sana mpenzio anakufumania afu akiucheki mchepuko ulivyo kituko anaanza kujiuliza ivi mpenzi wangu amenionaje ...
Japo maisha sio kutafuta pesa tu , ila kwenye maisha yangu nimetafuta pesa kwa muda mwingi na mara nyingi ninapozipata, nazitumia katika mahitaji ya kila siku kula, kuvaa, kulala na kuzaa. Ila ndani mwangu hujiona as if kuna jambo kubwa zaidi ya niishivyo nalopaswa kulifanya. Coz it doesn't make...
"Mwanangu ukitaka kufurahia maisha ya ndoa, katu usiwe na mke mmoja tu".
Kisha akendelea , mke mmoja atapambana na wewe kila siku ila ukiwa na wawili watapigania wao kwa ajili yako kila siku.
Kwa kufanya hivyo , maisha yako yatakua rahisi Kama refa uwanjani.
Wakuu ebu naombeni uzoefu kwenye ili.
Hello JF,
Kuna andiko kwenye biblia linasema uangamivu wa masikini ni umasikini wao wenyewe, sikuwahi kulipa special attention ila sasa nimekua nimefahamu. Ukweli ni kwamba maisha ya masikini ndo sababu kubwa ya wao kuendelea kuwa masikini.
Mtu masikini huoa masikini mwenzake, huzaa watoto na...
Leo nianze kwa salaam iliyoanza kusahaulika humu ndani,
Igweeeeeeeeeeerre!!!
This is grand weekend, Mambo ni mengi ila naomba mpumzike responsibly.
By background ni mtu niliekulia kwenye moja ya mji mdogo kaskazini magharibi mwa nchi yetu, kwenye familia ya chini kiuchumi na inayoongozwa na...
Leo sitowasalimia coz nachoenda kuwahabarisha hakitawaacha wengi salama.
Briefly, hakuna mwana MMU asiyependa sex....ile tu kupitia conner hii inaonyesha umeshawahi au unapanga kucheza na kushiriki mchezo huu pendwa.
The Bad New ni kwamba " wanasayansi wamebaini kuwa kupenda kufanya mapenzi...
Wakuu poleni kwa majukumu
Leo naomba tusaidiane kuhusu dhana hii ambayo kimtindo ipo mtaani kwa sana tu.
Dhana yenyewe ni hii " Eti kila mtu katika safari ya maisha yake huwa ana Boom season"
Ufafanuzi:
Dhana hii inatanabahisha kuwa kila mtu kwenye safari ya maisha Kuna kipindi lazima pesa...
Salaam Jf
Siku zinaenda, umri unasonga na uzoefu unajengeka.
Kama mwanamme halisi... uzoefu unanionyesha hata chanda kiwe hot kiasi gani, ukipita ule muda wa fantasy period anakuwa wa kawaida sana hata hakushitui
Mtaani pote mabaharia wanapiga salute kwa ukaliiiii wa chombo chako ila kwako...
Salaam Jf,
Niruhusu niwe sehemu ya baraka katika Jmosi ya leo. Kwa siku kadhaa zijazo nitakushirikisha mambo ya msingi ambayo yamekufanya mpaka leo uendelee kuwa masikini.
Umaskini ni adui wetu namba moja ukiacha ujinga na malazi ambao tunapaswa kuwashinda Kama mtu mmoja mmoja na Kama taifa...
Salaam kwa wote
Leo Sina maneno mengi. Ninawataalifu tu wanaume kama sehemu ya maangalizo yaliyosisitizwa kwenye kikao chetu cha wanaume last week.
Kama wewe ni kilaza please usije ukakaa kufikiria kuoa.
Biblia iko wazi kabisa ....imetuhasa kuishi na wanawake kwa akili....!!!, Hivyo ukiingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.