Default ya uumbaji chanzo cha uchepukaji kwa wanaume

Default ya uumbaji chanzo cha uchepukaji kwa wanaume

doppla2

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
1,393
Reaction score
1,462
Salaam Jf
Siku zinaenda, umri unasonga na uzoefu unajengeka.

Kama mwanamme halisi... uzoefu unanionyesha hata chanda kiwe hot kiasi gani, ukipita ule muda wa fantasy period anakuwa wa kawaida sana hata hakushitui

Mtaani pote mabaharia wanapiga salute kwa ukaliiiii wa chombo chako ila kwako steem ni kawiada sana.

Cha ajabu kitaaa unaopoa chombo ambacho ukikithaminisha na ulichokiacha home watu wanakushangaa na kujiuliza umekosa nini, .... Ila ukweli hiki chombo kipya japo kinyemi steem ziko 4G

Hali hii unifanya kufikiria kuwa Kuna default setting flani kwenye uumbaji wa mwanaume ambacho kinamfanya awe mchepukaji na asilidhike na mmmoja.

Au kuna social interpretation ambayo jamii zetu zili set rule amabayo iko contrary to nature of creation, yaani mwanaume hapaswi kuwa na mke mmoja tu!

Ebu leteni uzoefu....wakuu

Hii issue is so complicated
 
Yote yanawezekana kwake yeye aaminiye.si unajua kuwa mambo yote chini ya jua ni ubatili!!
Ukishalimwaga unaanza kujiona bwege tu.
 
Yote yanawezekana kwake yeye aaminiye.si unajua kuwa mambo yote chini ya jua ni ubatili!!
Ukishalimwaga unaanza kujiona bwege tu.
Afu ukikaa siku Saba unataka Tena
Wonders shall never ends
 
Hiyo ni asili mkuu tuliyoumbiwa nayo,ndio maana tuna ujasiri wa kutongoza ila wao hawana,tumeumbwa na tamaa juu ya hill wala halikwepeki,binafsi niliwahi kumfuta nyuma mdada aliyetelemka kwenye daladala k,koo mpaka mnazi mmoja nikiwa nafurahishwa na umbo lake na ule mneso wa tako,baadaye nilijilaumu sana kwa kupoteza muda[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Agiza fanta uko ulipo ntalipa ulifanya kitu poa sana😂😂😂😂😂
Hiyo ni asili mkuu tuliyoumbiwa nayo,ndio maana tuna ujasiri wa kutongoza ila wao hawana,tumeumbwa na tamaa juu ya hill wala halikwepeki,binafsi niliwahi kumfuta nyuma mdada aliyetelemka kwenye daladala k,koo mpaka mnazi mmoja nikiwa nafurahishwa na umbo lake na ule mneso wa tako,baadaye nilijilaumu sana kwa kupoteza muda[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ukisoma sex and sexuality wala hizi issues hazitakusumbua.

Dini zimekuja kuleta mkanganyiko sana kwenye jamii yetu. Sheria nyingi za mahusiano haziko feasible na maisha yetu kabisa.

Mfano unaambiwa USIZINI. Hiyo ni according to dini. Then unabalehe una miaka 10, hapo ndio kwanza uko primary. Mpaka umalize chuo una miaka 24.

Sasa piga hesabu hii miaka 14 toka ulipobalehe mpk umalize chuo wangapi wataweza kuepuka ngono? Ni mtihani sana.

Zamani ilikuwa ukibalehe unapewa elimu ya maisha unapewa mji na kuoa/kuozeshwa, hapo dhambi ya kuzini ilikuwa inaepukika kabisa.

Nadhani nyakati zinakimbia sana, mambo mengine yabadilishwe tuu.
 
Ukisoma sex and sexuality wala hizi issues hazitakusumbua.

Dini zimekuja kuleta mkanganyiko sana kwenye jamii yetu. Sheria nyingi za mahusiano haziko feasible na maisha yetu kabisa.

Mfano unaambiwa USIZINI. Hiyo ni according to dini. Then unabalehe una miaka 10, hapo ndio kwanza uko primary. Mpaka umalize chuo una miaka 24.

Sasa piga hesabu hii miaka 14 toka ulipobalehe mpk umalize chuo wangapi wataweza kuepuka ngono? Ni mtihani sana.

Zamani ilikuwa ukibalehe unapewa elimu ya maisha unapewa mji na kuoa/kuozeshwa, hapo dhambi ya kuzini ilikuwa inaepukika kabisa.

Nadhani nyakati zinakimbia sana, mambo mengine yabadilishwe tuu.
Hata ndoa bado sio siluhisho kwa uhitaji wa sex kwa mwanaume
Utapiga unlimited sex at home ukienda kazini secretary yule pia unataka ufanye yako
Kuna kitu kwenye hasili hii tunakimiss katika kukitafsiri
 
Wazee mashuhuri karibia wote wa kwenye bible walikuwa na wanawake msururu, mfano mfalme suleiman.

Sasa who are we kujifanya wajanja?
Hata ndoa bado sio siluhisho kwa uhitaji wa sex kwa mwanaume
Utapiga unlimited sex at home ukienda kazini secretary yule pia unataka ufanye yako
Kuna kitu kwenye hasili hii tunakimiss katika kukitafsiri
 
Hiyo ni asili mkuu tuliyoumbiwa nayo,ndio maana tuna ujasiri wa kutongoza ila wao hawana,tumeumbwa na tamaa juu ya hill wala halikwepeki,binafsi niliwahi kumfuta nyuma mdada aliyetelemka kwenye daladala k,koo mpaka mnazi mmoja nikiwa nafurahishwa na umbo lake na ule mneso wa tako,baadaye nilijilaumu sana kwa kupoteza muda[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Haaaa....mkuu ulikua unaabudu uumbaji wa Mungu
Vipi ulikumbuka kutubu coz kumtazama mwanamke kwa kumtamani inahesabiwa ni zinaa
 
Hiyo ni asili mkuu tuliyoumbiwa nayo,ndio maana tuna ujasiri wa kutongoza ila wao hawana,tumeumbwa na tamaa juu ya hill wala halikwepeki,binafsi niliwahi kumfuta nyuma mdada aliyetelemka kwenye daladala k,koo mpaka mnazi mmoja nikiwa nafurahishwa na umbo lake na ule mneso wa tako,baadaye nilijilaumu sana kwa kupoteza muda[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
We kweli shujaa wa nguvu,
 
Hiyo ni asili mkuu tuliyoumbiwa nayo,ndio maana tuna ujasiri wa kutongoza ila wao hawana,tumeumbwa na tamaa juu ya hill wala halikwepeki,binafsi niliwahi kumfuta nyuma mdada aliyetelemka kwenye daladala k,koo mpaka mnazi mmoja nikiwa nafurahishwa na umbo lake na ule mneso wa tako,baadaye nilijilaumu sana kwa kupoteza muda[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji81] [emoji81] [emoji81]
 
Ila Ngozi nyeusi hususani watanzania ni wavivu sana hadi tunapata muda wa kufanya ngono hovyohovyo na hatuna focus kiasi kwamba pesa kidogo inatumika kugharamia upatikanaji wa ngono. Mtu akipata time kidogo bhasi hawazii kingine zaidi ya Ngono. Acha tutengenezewe smartphone na watu wanaojua kutumia muda wao ili turushiane picha na video za Ngono.
 
Ila Ngozi nyeusi hususani watanzania ni wavivu sana hadi tunapata muda wa kufanya ngono hovyohovyo na hatuna focus kiasi kwamba pesa kidogo inatumika kugharamia upatikanaji wa ngono. Mtu akipata time kidogo bhasi hawazii kingine zaidi ya Ngono. Acha tutengenezewe smartphone na watu wanaojua kutumia muda wao ili turushiane picha na video za Ngono.
Acha hizo mkuu
Wapi wasikopenda ngono?
Wazungu wenyewe wenye technojia pia ni mabingwa wa kungonoka
 
Back
Top Bottom