Salaam Jf
Siku zinaenda, umri unasonga na uzoefu unajengeka.
Kama mwanamme halisi... uzoefu unanionyesha hata chanda kiwe hot kiasi gani, ukipita ule muda wa fantasy period anakuwa wa kawaida sana hata hakushitui
Mtaani pote mabaharia wanapiga salute kwa ukaliiiii wa chombo chako ila kwako steem ni kawiada sana.
Cha ajabu kitaaa unaopoa chombo ambacho ukikithaminisha na ulichokiacha home watu wanakushangaa na kujiuliza umekosa nini, .... Ila ukweli hiki chombo kipya japo kinyemi steem ziko 4G
Hali hii unifanya kufikiria kuwa Kuna default setting flani kwenye uumbaji wa mwanaume ambacho kinamfanya awe mchepukaji na asilidhike na mmmoja.
Au kuna social interpretation ambayo jamii zetu zili set rule amabayo iko contrary to nature of creation, yaani mwanaume hapaswi kuwa na mke mmoja tu!
Ebu leteni uzoefu....wakuu
Hii issue is so complicated
Siku zinaenda, umri unasonga na uzoefu unajengeka.
Kama mwanamme halisi... uzoefu unanionyesha hata chanda kiwe hot kiasi gani, ukipita ule muda wa fantasy period anakuwa wa kawaida sana hata hakushitui
Mtaani pote mabaharia wanapiga salute kwa ukaliiiii wa chombo chako ila kwako steem ni kawiada sana.
Cha ajabu kitaaa unaopoa chombo ambacho ukikithaminisha na ulichokiacha home watu wanakushangaa na kujiuliza umekosa nini, .... Ila ukweli hiki chombo kipya japo kinyemi steem ziko 4G
Hali hii unifanya kufikiria kuwa Kuna default setting flani kwenye uumbaji wa mwanaume ambacho kinamfanya awe mchepukaji na asilidhike na mmmoja.
Au kuna social interpretation ambayo jamii zetu zili set rule amabayo iko contrary to nature of creation, yaani mwanaume hapaswi kuwa na mke mmoja tu!
Ebu leteni uzoefu....wakuu
Hii issue is so complicated