Salaam Jf,
Niruhusu niwe sehemu ya baraka katika Jmosi ya leo. Kwa siku kadhaa zijazo nitakushirikisha mambo ya msingi ambayo yamekufanya mpaka leo uendelee kuwa masikini.
Umaskini ni adui wetu namba moja ukiacha ujinga na malazi ambao tunapaswa kuwashinda Kama mtu mmoja mmoja na Kama taifa kiujumla.
Leo nitaanza na sababu ya Kwanza kwa nini wewe bado ni masikini mpaka leo:
1 : reason:
"Unatumia pesa zaidi ya unayoitengeneza".
Kifupi utajiri ni kuwa na ziada. Ikiwa kwa namna moja au nyingine unatumia zaidi ya unachokikusanya your net gain ni uhitaji kitu kinachoakisi hali ya umasikini ulio nao mpaka leo.
Kwa vyovyote vile uwe na vingi ama vichache daima ishi kulingana na kipato chako na hakikisha unatengeneza pesa zaidi kwa ajili ya kesho yako.
Ukitaka kuwa masikini daima endekeza tabia ya kutumia chote ukipatacho au zaidi ya ukipatacho
Tukutane next thread....
Usiache kutoa maoni yako.
Niruhusu niwe sehemu ya baraka katika Jmosi ya leo. Kwa siku kadhaa zijazo nitakushirikisha mambo ya msingi ambayo yamekufanya mpaka leo uendelee kuwa masikini.
Umaskini ni adui wetu namba moja ukiacha ujinga na malazi ambao tunapaswa kuwashinda Kama mtu mmoja mmoja na Kama taifa kiujumla.
Leo nitaanza na sababu ya Kwanza kwa nini wewe bado ni masikini mpaka leo:
1 : reason:
"Unatumia pesa zaidi ya unayoitengeneza".
Kifupi utajiri ni kuwa na ziada. Ikiwa kwa namna moja au nyingine unatumia zaidi ya unachokikusanya your net gain ni uhitaji kitu kinachoakisi hali ya umasikini ulio nao mpaka leo.
Kwa vyovyote vile uwe na vingi ama vichache daima ishi kulingana na kipato chako na hakikisha unatengeneza pesa zaidi kwa ajili ya kesho yako.
Ukitaka kuwa masikini daima endekeza tabia ya kutumia chote ukipatacho au zaidi ya ukipatacho
Tukutane next thread....
Usiache kutoa maoni yako.