Search results

  1. T

    Msaada wa jinsi ya kutengeneza na kuinterpret reference number ktk barua za kiofisi

    Madame S Ubarikiwe bureeeee.....yaan buretu. Asante sana. Huu n msaada tosha kabisa.
  2. T

    Msaada wa jinsi ya kutengeneza na kuinterpret reference number ktk barua za kiofisi

    Th ank you. Atlst umejibu..... Mwenye jibu la ufafanuzi zaidi plz??
  3. T

    Msaada wa jinsi ya kutengeneza na kuinterpret reference number ktk barua za kiofisi

    Jamani ndio kusema hamna msaada au mnapuuzia!? Maana naona mnaangaliatu thread halaf kimya!!
  4. T

    Msaada wa jinsi ya kutengeneza na kuinterpret reference number ktk barua za kiofisi

    Wandugu, Tafadhali naomba msaada wa melekezo jinsi ya kutengeneza na kuinterpret reference number ktk barua za kiofisi. Yaani kama ndio naandika barua kwa mara ya kwanza halaf nahtaj kuweka reference number nazitengenezaje Pili, kama najibu barua yenye reference number nafanyaje...
  5. T

    Vincent Nyerere ampa Mkapa vidonge stahiki

    kama ningekua nafanya utafiti wa ufuasi wa wanaJF kwa vyama ama wagombea kipitia jukwaa hili ningekua nisha conclude kua Lowassa atashinda kwa zaidi ya asilimia 70.
  6. T

    Natafuta mwanaume wa kula nae bata kesho

    sasa mbona hakuna reply!
  7. T

    Sugua-jiwe mkombozi kwa wenye vipara.

    Sijui nikupatepateje Husninyo....!
  8. T

    Tukumbushane

    Ishashu.
  9. T

    Kushushwa kwa viwango vya ufaulu.

    Wakuu, Samahanini sana kama niko sana nyuma litaarifa, ila kuna hili suala la kushushwa kwa viwango vya ufaulu, naamini wengi tulilisikia na kulifuatilia kwa karibu na kuliewewa, isipokua wengi naamini hatukukubaliana nalo. Hatukukubaliana nalo kwa kua kwa logic rahisi sana, maelezo...
  10. T

    Hivi kwanini sisi wanaume wafupi hatupendwi na wanawake?

    Usijali kaka, pengine sisi warefu tunaongoza kwa kuchunwa. kila kitu knafaida na hasara kaka.
  11. T

    Jihadhari na Wakata Kucha

    mh...ila kwakweli me vitu vingine wala sikubalianagi navyo! kama mtaniona conservative mnionetu....hivi jamani mdada kabisa, tena msomi/wakisasa kucha mpaka ukasafishwe na mtu mwingine!! ukiniambia kutengenezwa nywele sawa, wala sibihi, ila kucha!!! hapana, me hata wangu sinto mruhusu...vitu...
  12. T

    I would give him 100%

    Seriously hii nimecheka, daaaa.............! Umetisha mkuu.
  13. T

    Bongo movies...

    Kiukweli wenzetu muvie zao ni nzuri sio kua ni bahati, ni kua wanawekeza muda na hela vya kutosha. lakini pia vitu vingine wala sio hela, ma director nao wanazingua sana, et mfano mwananume anaenda kufunga ndoa kanisani akiwa amevaa hereni!! serious kweli kimafafrika?kitanzania?? maana muvie...
  14. T

    Dada Aliyembaka Mbunge Wa Arusha, Kumbe anasambaza Ugonjwa wa Ajbu?

    Me hua nashagaa sana, hv kweli mtu unaandikwa kwa kukashifiwa hivi af upo kimya tuu!! Au ni kweli huyo mbunge alibaka? na anaohuo ugonjwa wa "ajabu" unajua magazeti ya kwetu yalishazoea ubweteubwetetu...unaandika tu kuhusu mtu bila hata kumconsalt!! walah hii ni case yenye hela nyingitu na...
  15. T

    Dakika 10 kabla ya harusi yako!!

    Kuna mitihani migumu bana, huu nao utauita mthani? huu hauhitaji hata kuchukua sekunde tano kuwaza, jibu liko wazi, harus naahirisha napiga dili.
  16. T

    Nelson Mandela, South African Icon of Peaceful Resistance dies at 95

    Taarifa kutoka katika vyombo mbalimbali vya habari vinasema mmoja wa baba wa Afrika, raisi wa kwanza wa Afrika ya kusini, Nelson Mandela, amefariki dunia. Rest in Peace Nelson Mandela. May the lord in heaven forgive your sins and accept you into his eternal life. Amen.
  17. T

    Natafuta mwanaume

    hivi vitu vinamatter sana, kama unazungumza theory sawa, ila kama unazungumzia practise ya ndo hapa umeongea pumba mkuu! sorry lakini.
  18. T

    ujumbe mzito

    Hii kitu hii jamani!
  19. T

    Huyu demu vipi ?

    sina uhakika kama tunalitumia ipasavyo jukwaa, sasa hapa mtua anataka ashauriwe nini!
  20. T

    Hili nalo ni tatizo kubwa_dada zetu inabidi walielewe.

    Me pia majina ya baby, honey, sweetie, etc hua yananikera. Me niitetu Tasia.....
Back
Top Bottom