Mapenzi ni kitu cha ajabu hasa kwa dada zetu. Wengine wanapenda mwanaume anayevaa kata k, wengine wanapenda mwanaume wa marasta na mwingine anapenda awe anamwita mpenzi wake majina ya kitoto na kinyuki. Kama ilivyo kwa akina sie kupenda walio na mkorogo au wenye wowowo kubwa kiasi tunawatesa wenzetu kwa kujidunga sindano ili nyama ifutuke ili wowowo lipatikane. Sasa kama anapenda akuite sukari, asali, mtoto n.k ukawa hutaki, hivyo jua ukikataa atatafuta wa kumwita ili roho yake isuuzike. Ushauri: Mapenzi ni nipe nikupe. Mtaka cha uvunguni sharti ainue matanda. Jitahidi kufurahia hizo sms ili ukirudi mambo yanajipa (raha ya mwanaume)ndio maana nimesema kwa upande mwingine inawezekana anafanya kwa nia njema kabisa ya mapenzi ,..lakn upande wa pili ikawa ni issue
jamani si ndo mapenz hayo msipopendwa mnajifyatua sasa sijui hata tufanyeje!
hupendi kuitwa majina ya kitoto wakti mwingine mapenzi yanafanya mtu anatenda mambo ya kitoto.......wifi ana shida bana anadumisha mahusiano kama unakereka mwambie apunguze
kidogo
ndio maana nimesema kwa upande mwingine inawezekana anafanya kwa nia njema kabisa ya mapenzi ,..lakn upande wa pili ikawa ni issue
aiss ndivyo wanavyo tufanyie hivyo wenzio!Mie dada zangu hawafanyi hivyo.
ahahahahahahahaaaaaaaaaaaaa_shikamoooo da Blakiwoman,..ila naomba umfikishie huu ujumbe wifi yako bhana,..mimi nikimwambia atanuna