amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,369
Kama mlizi au house boy ndo star ujue atazimikiwa na mama mwenye nyumba au mtoto wao
Mkuu ni kwel ulivyosema,nachek muv hapa,houseboy kawapa mimba mtoto,mama na shangaz....
Kama mlizi au house boy ndo star ujue atazimikiwa na mama mwenye nyumba au mtoto wao
sema tumezid kuiga shine!
wasanii wanatumia njia isiyo sahihi kupata mafanikio,kwani ukionesha ubunifu mkubwa kwny kazi zako huwez kuwa juu?hadi uchukie maendeleo ya wengine??...aaaah ntarudi banah wakijitambua,ngoja niendelee kuchek Hotel Rwanda hapa!Pamoja na kuiga nako kunasaidia kujifunza ila wasanii wenyewe kwa wenyewe hawapendani na wanapigana vita, je huo ushirikiano wa kuikuza bongo muvi utatoka wapi zaidi ya kulalia na kuamkia majungu?
Kahaba lazima avute sigara.....jambaz lazma livae koti refu na miwan myeus....mganga wa kienyeji lazma awe porini,mchafu,halaf anaongea kwa ukali!
7.jambazi anaingia ndani kavua viatu mlangoni
Kiukweli wenzetu muvie zao ni nzuri sio kua ni bahati, ni kua wanawekeza muda na hela vya kutosha.
lakini pia vitu vingine wala sio hela, ma director nao wanazingua sana, et mfano mwananume anaenda kufunga ndoa
kanisani akiwa amevaa hereni!! serious kweli kimafafrika?kitanzania?? maana muvie inatakiwa ifanane na ukweli, hata kama mtu ni sharo kias gan hereni atava kwanza akitoka chach atavaa mahereni yake..............