Yaani Mkapa alimuua BABA WA TAIFA kisa alipinga UBINAFSISHAJI!
Na kwa nini mpaka leo Mkapa anaendelea kuwatukana Wa tanzania wapumbavu na malofa? Huu ujasiri anaupata wapi? Na ndio maana akiona upinzani umewakaba koo wanamleta kuja kuokoa jahazi kwa matusi. Lakini akae akijua machozi tuliolia watanzania kumlilia JKN itakuwa laana yake na watoto wake milele.Yaani kweli mtu akupe urais wa nchi shukurani unayompa ni mauti? Haina shida kwani yeye ataishi milele? Na sijui familia ya Nyerere walipewa zawadi gani hadi leo wamekaa kimya.