Mkuu swala LA kutengeneza hela sio kila nchi inafanya kivyake, suala LA security kwenye noti ni kitu muhinu sana.....
Historically hao jamaa wa uswis wamekuwa wakifanya kazi hiyo muda mrefu sana na ndio maana sehemu kubwa ya uchumi wao hugegemea vitu kama hivyo na utengenezaji wa saa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.