Mkuu we are in journey and our journey is too long mkuu.Alikuwa mgonjwa au ni nini kimemkumba!
kuna watu hawapaswi kujibiwa, sijui nani anayewambukiza chuki na ubaguzi wa kisiasa namna hii!ila tu jua huyu ni mjinga maana siamini kama familia yake yote ni wafuasi wa chama au itikadi moja !
Yaap hayo mkuuRIP,chanzo cha kifo wanasema ni nini,tukiachilia haya yasio na uhakika..?
I, surely, reserve my opinion on this comment done by the guy like you.Kwa hiyo jezi aende tuu
RIPTaarifa ndio hiyo, Sister V aliyekuwa mtangazaji wa Radio Uhuru, mtoto wa Kiongizi Mkongwe hapa nchini Chrisant Majiyatanga Mzindakaya, amefariki. Tulikuwa nae Taifa juzi kwenye mechi ya Yanga na Simba na leo, ndugu yake Ben Mwanantala, amethibitisha kifo cake.
View attachment 621181
Kwa hiyo jezi aende tuu
Huyu Jackie ni mdogo akeNDO HUYU?
OK ASANTE MKUUHuyu Jackie ni mdogo ake