NnyaMbwate
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,678
- 1,204
Lakini PM alisema supplier anamdai mnunuzi kwani kalipa 30% ya thamani ya mzigo na bado hajakabidhi Bill of Lading. Sasa TRA walikaguaje mzigo na kusajili bila kuwa na BL? Kuna tatizo mahali, tujipe muda.