jumayu
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 653
- 375
Kwaani sisi walipompiga doctor shika weingereza walitupa hata pole, hapo kuna kamtego wapambane na hali yao,, wao waingereza wanamtafutia Mr purtin sababu kwaajili ya kombe la dunia mda umewapa mkono wao weingereza ndo waliomuua wala wasijifanye wanamtafuta mchawi