ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Na pia hilo zezeta zee aliye punguani amejua kwamba AFRICA watu wanaamka sasa Ana jaribu kutu nenea vibaya!Sawaaa.sijakataa.
ILA KUNA SEHEMU TRUMP KAMTAJA KIONGOZI YEYOTE.?kasema waafrika.kajumuisha na wewe ukiwemo.
Kahiita afrika shithole.na wewe unaishi afrika.umezaliwa afrika.na wazazi wako na babu wote ni waafrika.akitukanwa magufuli na kagame.ndo umetukanwa wewe na Mimi na wazazi wetu.kama wewe haukumpigia kura magufuli.kuna mama ako au baba ako.atakuwa amempigia kura.na ndio kura yake imesaidia kumuweka magufuli madarakani.
SASA AKITUKANWA MAGUFULI JUA NA WEWE HUMOOO.
afrika kweli ina matatizo.
ILA SIO SABABU YA KUTUKANWA.
Dadeki yeye na familia yake ndiyo mazezeta haswa!