Menyainganyi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2013
- 1,170
- 1,101
magari hayajatolewa bandarini, yatasajiliwaje sasa . . ?Hilo swali mkuu limeulizwa sana lakini hadi sasa hapajatolewa jibu la uhakika!
magari hayajatolewa bandarini, yatasajiliwaje sasa . . ?Hilo swali mkuu limeulizwa sana lakini hadi sasa hapajatolewa jibu la uhakika!
Jina la PM limetumikaje? Verbally au mhusika alienda TPA akiwa na kimemo toka ofisi ya PM? Something fishy here....all in all huwa simwamini PM hata kidogo.Na kuhusu kutumia jina la PM?
Ndiyo maana yake! Shame.Kwaiyo PM ni wakala wa hao waturuki hadi akawadaie deni lao,,,
Wewe huwezi kuongoza hata familia yako ..., utapata wapi nafasi ya kupewa nchi ...?!Shida aliye uza hayo magari 44, Mturuki
Haja lipwa 70% ,
Acheni wizi na utapeli,
Bado mnachezea Serikali, ningekuwa Rais ningekuwa nilisha wakata watu vichwa, JPM Ni mvumilivu sana.
Nakuunga mkono 100%Wewe huwezi kuongoza hata familia yako ..., utapata wapi nafasi ya kupewa nchi ...?!
Serikali haifanyi biashara, wafanyabiashara wanapotofautiana ktk biashara, kuna sheria za nchi zinaelekeza namna ya kufanya . .
Njia mojawapo ni kwenda Mahakamani ..., sio kuwatisha watu na Waziri Mkuu au Raisi ...
Hebu pevuka kidogo ..., acha kutumia akili za ccm kufikiri ...
Wamesema hiyo ni bongo movie tatizo waigizaji wanatumia location moja tu ya badariniIna maana PM kakosea?
Hilo ndio la msingi...maana kwa uhalisia.....kama yule bwana hakulipwa 70% maana yake...documents zilikuwa directed to bank......., ili atakapolipa hiyo 70% bank wam-release hizo dicuments.Kwa maelezo haya nasikia harufu ya " kughushi" pahala fulani!
42-1Wana frustration za kupigwa kata funua kwenye makinikia
Bado maswali ni mengi mkuu.!Zipo taratibu za kisheria za kudai na hao waturuki wana haki ya kudai haki zao hapa. Je?hizo taratibu ndio zile???
Mjomba kuna fitna za kishamba sana wanazofanyiana hawa viongozi wa awamu hii , huyo dogo asipodhibitiwa atawakaanga sana !Kama ni Kweli basi huu ni utawala uliofitinika, ni utawala unaongozwa kwa misingi ya majungu
Acha masihara PM ni mtu mkubwa na yuko makini hawezi bahatisha vitu mkuu,wapigaji wanna maneno matamu sana ya kujitetea.Ni lini amewahi kupatia!!
Nadhani watamwajibishaMjomba kuna fitna za kishamba sana wanazofanyiana hawa viongozi wa awamu hii , huyo dogo asipodhibitiwa atawakaanga sana !
Ina maana umesahau muhemko wa faru John!Ina maana PM kakosea?