andrewk
JF-Expert Member
- Apr 13, 2010
- 3,102
- 488
Baridi mkuu na wagaeni wengi paleHivi ni kwa nini Njombe inaongeza kwa kuwa na 11.4% ya watu waishio na UKIMWI? Kwani nijuavyo Njombe ni moja ya Mikoa yenye neema hivyo hata umaskini si kihivyo.
Baridi mkuu na wagaeni wengi paleHivi ni kwa nini Njombe inaongeza kwa kuwa na 11.4% ya watu waishio na UKIMWI? Kwani nijuavyo Njombe ni moja ya Mikoa yenye neema hivyo hata umaskini si kihivyo.
Kama umesoma kwa mantiki utagundua kuwa taarifa ni fupi tu ila mikwara tani 10!! Sasa jiulize kwa nini mkwara uwe mzito hivyo wakati WHO wanaweza kuja na data zao sasa hivi na zikapinngana na hizi za NBS na serikali isimfanye chochote WHO!!Hizo Takwimu ni za uongo.
Uchukuaji wa Sample kwa mkoa ni mobovu sana.
Ukizungumzia mitungi hakuna wanaokunywa tungi kama moshi na arusha na kwa baridi moshi arusha ipo ya kufa mkuu sema hawajui kukataa alafu.magomvi mengi sana hawatahiriwi hawa viumbeMiongoni mwa sababu kule Njombe ni kiwango kidogo cha tohara kwa wanaume. Lakini pia mtungi, wale watu wanapiga mtungi hatari sana, ingawa baridi nayo yachangia.
Acha tu mkuuNenda Lindi Peku uone.Ila Njombe ni shiiiida takwimu hazishuki tu
Ndo wale walio pima mkuu waache tuu wajidanganyeHao sio wale waliopima?
Hiyo dodoma sasa duuuu!!! Hapo bado wenye nchi hawaja hamia rasmiNdo hali halisi