mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,265
- 44,750
Mkuu hata huyo dada. Anazungumzia atapiga dili.We wa wapi..... I have been working migodini unakaguliwa mpaka boksa pamoja na kukaguliwa na sesor.... Huwezi kubeba labda umepanga dili na walinzi.
Then bank kuna watu wengi nawafaham pesa wanaishia kuzishika tu. Wanapata mshahara na overtime
Sio atatoka nazo kihalali.
Lakini nafikiri ukiwa unafanya kazi kiwanda cha hela. Utaziona za kawaida