Kuhusu suala la Morocco na Sahara Magharibi, AU na Tanzania ni tamaa, maslai binafsi na rushwa ilitumika hakuna jingine hapo.Mkuu kwani sheria za AU zinasemaje pia kuhusu Morocco kuikalia kimabavu Sahara Magharibi ?
Kama Sheria za UN hazitambui Israel kuikalia Yerusalemu, kulikuwa na haja gani kwa hiyo kura kupigwa katika mkutano wa UN?
Tanzania tutapata faida gani kuiunga mkono Morocco dhidi ya Sahara Magharibi?
Narudia kusema tena hapa, katika hili la Kuipinga Israel, Tanzania tumekosea kwa 100%, tumekuwa kama mapimbi vile, badala ya kuitumia kama fursa ya kuweza kutoboa kiuchumi sisi tumefuata upepo wa mgogoro usiotuhusu.
Wewe najua unaposema waarabu unaongelea Islam. Hivi unajua waarabu unaowaita wewe na wayahudi wote asili yao ni ndugu?.Hivi unajua gharika lililotokea kwa Noah ilikuwa ni Iraq? Hivi unajua wasraeli wengine na majority sio wakristo?.Hivi unajua YESU(ISS BIN MARIAM ) hakuleta ukristo ila alileta INJILI?.Mgogoro wa Israel na Palestina ni mpana sana kabla ya kuzaliwa YESU?Tunawang'ang'ania waarabu hakuna walichotusaidia wala hawawezi. Tunaacha kuwa karibu na watu wenye akili. Bure kabisa
Mji mkuu wa Israel ni Tel AvivJerusalem ni mji mkuu wa Israel, hili halihitaji hata kura.
Kwanini tuwe neutral! Nchi INA maamuzi yake, tena nadhani Trump aliharibu zaidi alipotishia kuzinyima misaadaTz ingekuwa neutral ingependeza. nchi changa hizi kujiingiza kwenye migogoro ya mashariki ya kati, tena ya miaka nenda rudi iliyoanza kabla TZ yenyewe haijazaliwa haina tija.
Vinchi vingine hapa ni vya wabuya madawa ya kulevya halafu ni vidogo kama ncha ya kalamuWapendao kujua,
nchi 128 zimepinga azimio la Trump kuitambua jerusalem.
Nchi 9 zimemuunga mkono Trump
nchi 35 hazikupiga kura.
Ajabu ni kuwa nchi kama Canada ilitegemea kusimama na marekani lakini wame abstain,
--uingereza kwa kukwepa kuiudhi marekani ilitegemewa isipige kura,lakini wamepiga kura kulaani azimio la marekani.
Nchi zilizoiunga mkono marekani ni 9,
-Guetmalla
-hondura
-israel
-marshal island
-Nauru
-palau
-Togo
-macnesia
-na US yenyewe
very insgnificant countries
Tel Aviv ulifanywa mji mkuu kwasababu tu ya chokochoko zilizokuwa zinaendelea. Lakini Jerusalem ndio mji mkuu halali wa Israel. Hapo ndipo, Bwana Mungu wa Israel, Muumba wa mbingu na nchi alipopachagua ili kuliweka Jina lake hapo Milele. Na hivyo ndivyo itakavyokuwa. Kura za wanadamu hazitaamua.Mji mkuu wa Israel ni Tel Aviv
Big up hizo nchi zilizoiunga Marekani mkono. Hizo ndizo nchi zenye akili.Wapendao kujua,
nchi 128 zimepinga azimio la Trump kuitambua jerusalem.
Nchi 9 zimemuunga mkono Trump
nchi 35 hazikupiga kura.
Ajabu ni kuwa nchi kama Canada ilitegemea kusimama na marekani lakini wame abstain,
--uingereza kwa kukwepa kuiudhi marekani ilitegemewa isipige kura,lakini wamepiga kura kulaani azimio la marekani.
Nchi zilizoiunga mkono marekani ni 9,
-Guetmalla
-hondura
-israel
-marshal island
-Nauru
-palau
-Togo
-macnesia
-na US yenyewe
very insgnificant countries
issue siyo waarabu tu Tanzania inajikita kwenye UN resolution on middle east amabazo zinautambua mji wa Jerusalem kama ni wa wote yaani wapalestina na IsraelTunawang'ang'ania waarabu hakuna walichotusaidia wala hawawezi. Tunaacha kuwa karibu na watu wenye akili. Bure kabisa
Hili zigo Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje atalibeba maana yeye ndiye aliongea na vyombo vya habari siku Trump alipodeclare Jerusalem ni capital ya Israel. Busara ilikuwa ni kuwa neutral hukubali hukatai. Huu muziki wataucheza kwelikweli. Trump ana mapungufu yake lakini inapokuja imani yake ya kikristu hasiti kusema. Amewakataza watu wake kusema Happy Holidays amesema ni Merry Xmass kulingana na imani.Tanzania inakuwa inexperience kuliko hata S. Sudan iliyopata uhuru juzijuzi?. Ni kwa nini hawakumshauri mwakilishi wetu akaenda kichwa kichwa kupiga kura? Hapa tumepingana na maandiko kwa mara nyingine!!
Mkuu umepiga cha Arusha au kitu kutoka mbeya? au vyuma vimekaza?Serikali ya Tanzania si imekataa kuitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel basi na yenyewe ikifanyiwa hivyo kwa Dodoma isilalamike tu!