Search results

  1. Eng Kahigwa

    Computer4Sale Dell Laptop for sale

    Dell Latitude E6330 RAM: 8GB HDD: 500GB Operating System: Windows 10 | 64-bits CPU: Core i7 | Speed: 3.0GHz Battery Autonomy: 3hrs Status: Good condition Location: Ubungo, Dar es salaam Price: Tsh. 440,000/= Call/Whatsapp: +255 656 814 383
  2. Eng Kahigwa

    Computer4Sale Dell-Laptop inauzwa

    Specification: Manufacturer: Dell Latitude E5430 RAM: 4GB HDD: 320GB Battery autonomy: 4-6hrs CPU: Core i3 Speed: 2.5GHz Other features: USB ports [USB 2.0, USB 3.0], Wi-Fi, Memory card slot, CD-Drive, HDMI & VGA port. Bei: 400,000/= Laptop haina tatizo la aina yoyote ile. Simu namba: +255 656...
  3. Eng Kahigwa

    Wale ambao upepo wa kisulisuli umetuponya tukutane hapa

    Nilikuwa zangu Kimara, ghafla upepo wa kisulisuli ukanibeba na kujikuta kwenye kisiwa cha Ukerewe nikiwa na wavuvi.
  4. Eng Kahigwa

    Msaada: Cramp meter

    Habari zenu wakuu! Naomba msaada wa wapi ninaweza kupata digital cramp meter yenye uwezo wa kupima current ya DC na AC, voltage ya DC na AC pamoja na function zingine, maana nimezunguka maeneo mengi ambapo zile nilizopata zilipungukiwa uwezo wa kupima DC Current ambayo kwa kazi yangu, ina...
  5. Eng Kahigwa

    Natafuta kazi ya udereva wa mabasi

    Habari zenu wanajf, mimi ni kijana ambaye ninatafuta kazi ya udereva wa mabasi yoyote yawe ni daladala na mengineyo. Nina ujuzi mzuri wa kuendesha mabasi, na nilipata mafunzo ya udereva huko VETA na leseni yangu ya uhalali ni ya grade C1. Kwa mawasiliano, namba yangu ya simu ni +255659122404...
  6. Eng Kahigwa

    Msaada: Utumiaji wa digital multimeter

    Habari wanajf. Naombeni msaada kwa yeyote anayefahamu kutumia digital multimeter ambayo haina sehemu maalum ya kuset kwenye uf (microfaraday) kwa kupima capacitor na kujua kuwa ni nzima au ni mbovu. Na pia hata jinsi ya kupima IC (Integrated Circuits) kwa kutumia hivyo vifaa. Natanguliza...
  7. Eng Kahigwa

    Mini Laptop used inauzwa

    Habari zenu wanajf, Ninauza mini laptop ambayo ipo katika hali nzuri kabisa na wala haijawahi kufunguliwa; Maelezo kuhusu sifa za hiyo mini laptop ni kama zifuatazo:- Mini Laptop ni ya aina ya ASUS Eee Pc 1001px Specification Display: 10.1 inch Built-in webcamWi-fi support Hard disk...
  8. Eng Kahigwa

    Msaada wa laptop ya Acer

    Habari zenu wanajukwaa. Nina tatizo na laptop yangu ya aina ya Acer E-series; tatizo ni kwamba nikiunganisha power cable inawaka na pia inaonesha battery inacharge, sasa kinachoisibu hii laptop ni kwamba battery haiongezeki chaji na ninaweza kuchaji masaa 6 lakini isiingie hata 1% ; na pia...
  9. Eng Kahigwa

    Sababu za kuanzisha makampuni katikati ya mji

    Habarini wanajf, hivi inakuwaje swala la makampuni mengi kuweka vitengo vyao vya huduma katikati ya miji hususani Dar-es-salaam kama vile maeneo ya posta, k/koo na sehemu zingine? nauliza hivyo kwa maana, kama kuna nafasi kubwa hususani nje kidogo ya mji wetu wa kuweza kujenga au kuanzisha...
  10. Eng Kahigwa

    Urithi na kijana

    Habarini wanaJF Leo ninataka kutoa mada yangu kuhusu vijana (bado hawajaanza kujitegemea) hususani ambao hutegemea urithi kutoka kwa wazazi wao. Nimekuwa nikiona baadhi yao kutokuwa makini na maandalizi ya maisha yao hususani masomo na mengineyo, hii ni kutokana na kujipa ujiko kuwa kwa nini...
  11. Eng Kahigwa

    Product keys ya windows 8.1 core

    Habari zenu kila mmoja. Naomba mwenye product key ya windows 8.1 core anisaidie, maana nilikuwa na temporary product key ambayo imeisha na windows inahitaji kuwa activated. Natanguliza shukrani kwa kila mmoja atakayeweza kunisaidia hizo keys na hata atakayenipa ushauri unaohusu hili jambo.
  12. Eng Kahigwa

    Nawezaje ku-download Windows 10?

    Habari zenu wadau waJF, Kwa yule anayefahamu link ya kudownload Windows 10 iso file iliyo full version naomba anisaidie kunipatia.
Back
Top Bottom