Habari zenu wakuu!
Naomba msaada wa wapi ninaweza kupata digital cramp meter yenye uwezo wa kupima current ya DC na AC, voltage ya DC na AC pamoja na function zingine, maana nimezunguka maeneo mengi ambapo zile nilizopata zilipungukiwa uwezo wa kupima DC Current ambayo kwa kazi yangu, ina...
Habari zenu wanajf, mimi ni kijana ambaye ninatafuta kazi ya udereva wa mabasi yoyote yawe ni daladala na mengineyo. Nina ujuzi mzuri wa kuendesha mabasi, na nilipata mafunzo ya udereva huko VETA na leseni yangu ya uhalali ni ya grade C1.
Kwa mawasiliano, namba yangu ya simu ni +255659122404...
Habari wanajf. Naombeni msaada kwa yeyote anayefahamu kutumia digital multimeter ambayo haina sehemu maalum ya kuset kwenye uf (microfaraday) kwa kupima capacitor na kujua kuwa ni nzima au ni mbovu. Na pia hata jinsi ya kupima IC (Integrated Circuits) kwa kutumia hivyo vifaa.
Natanguliza...
Habari zenu wanajf, Ninauza mini laptop ambayo ipo katika hali nzuri kabisa na wala haijawahi kufunguliwa; Maelezo kuhusu sifa za hiyo mini laptop ni kama zifuatazo:-
Mini Laptop ni ya aina ya ASUS Eee Pc 1001px
Specification
Display: 10.1 inch
Built-in webcamWi-fi support
Hard disk...
Habari zenu wanajukwaa. Nina tatizo na laptop yangu ya aina ya Acer E-series; tatizo ni kwamba nikiunganisha power cable inawaka na pia inaonesha battery inacharge, sasa kinachoisibu hii laptop ni kwamba battery haiongezeki chaji na ninaweza kuchaji masaa 6 lakini isiingie hata 1% ; na pia...
Habarini wanajf,
hivi inakuwaje swala la makampuni mengi kuweka vitengo vyao vya huduma katikati ya miji hususani Dar-es-salaam kama vile maeneo ya posta, k/koo na sehemu zingine?
nauliza hivyo kwa maana, kama kuna nafasi kubwa hususani nje kidogo ya mji wetu wa kuweza kujenga au kuanzisha...
Habarini wanaJF
Leo ninataka kutoa mada yangu kuhusu vijana (bado hawajaanza kujitegemea) hususani ambao hutegemea urithi kutoka kwa wazazi wao. Nimekuwa nikiona baadhi yao kutokuwa makini na maandalizi ya maisha yao hususani masomo na mengineyo, hii ni kutokana na kujipa ujiko kuwa kwa nini...
Habari zenu kila mmoja. Naomba mwenye product key ya windows 8.1 core anisaidie, maana nilikuwa na temporary product key ambayo imeisha na windows inahitaji kuwa activated. Natanguliza shukrani kwa kila mmoja atakayeweza kunisaidia hizo keys na hata atakayenipa ushauri unaohusu hili jambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.