Msaada: Utumiaji wa digital multimeter

Eng Kahigwa

JF-Expert Member
Feb 18, 2014
783
625
Habari wanajf. Naombeni msaada kwa yeyote anayefahamu kutumia digital multimeter ambayo haina sehemu maalum ya kuset kwenye uf (microfaraday) kwa kupima capacitor na kujua kuwa ni nzima au ni mbovu. Na pia hata jinsi ya kupima IC (Integrated Circuits) kwa kutumia hivyo vifaa.
Natanguliza shukrani kwenu.
 

Attachments

  • mm.jpg
    mm.jpg
    34.5 KB · Views: 311
Mkuu ni aina gani io multimeter yako kama utakuwa na picha itatusaidia kujua tuanzie wapi kukuelekeza....Karibu
 
Tuambie Ni aina gani ya multimeter.
ILA capacitors zinapimwa kwa kutumia ohmmeter na set range kubwa.kwa capacitor nzima haitakuwa na resistance kubwa na hiyo itakuwa Kati ya 500ohm-1000M
jinsi ya kupima,tumia brack probe upande WA positive na red probe upande WA negative
typing.....
 
Tuambie Ni aina gani ya multimeter.
ILA capacitors zinapimwa kwa kutumia ohmmeter na set range kubwa.kwa capacitor nzima haitakuwa na resistance kubwa na hiyo itakuwa Kati ya 500ohm-1000M
jinsi ya kupima,tumia brack probe upande WA positive na red probe upande WA negative
typing.....
Na vipi kuhusu kutumia kwa upande wa voltage?
 
Hiyo hapo mkuu, nimeiweka picha yake.
Haina option ya kupima capacitor hio ila unaweza fata trick ya mkuu apo juu kutaka kupima Transistor weka pointer yako hapo hFE then tumbukiza izo legs zako za transistor kuijua kama ni Npn au Pnp pia hio multimeter yako haipimi Ac current kwa voltage kama kawaida black probe always inakaa common na red ita vary kutokana na unachotaka kupima kwa continuity, voltage diode na resistance red iweke apo kwenye v na iyo symbol ya ohms kwa current weka apo Ampere be care wrong connection could ready to damage your multimeter
 
Ila pia current ina trick zake kupima tofauti na voltage ambayo unaunga parallel across the load ila current una unga series na load uploadfromtaptalk1444749222787.jpg
 
Haina option ya kupima capacitor hio ila unaweza fata trick ya mkuu apo juu kutaka kupima Transistor weka pointer yako hapo hFE then tumbukiza izo legs zako za transistor kuijua kama ni Npn au Pnp pia hio multimeter yako haipimi Ac current kwa voltage kama kawaida black probe always inakaa common na red ita vary kutokana na unachotaka kupima kwa continuity, voltage diode na resistance red iweke apo kwenye v na iyo symbol ya ohms kwa current weka apo Ampere be care wrong connection could ready to damage your multimeter
Mkuu asante sana kwa maelezo yako, nimeshakuelewa kwa kweli.
 
Inategemea unataka yenye uwezo gani ila zipo za kawaida 7000,kumi kumi na 18 kuendelea ila kama unataka zile zenyewe nazo inategemea na kampuni gani nazo ziko hadi za laki 6 zinasoma hadi feequenc kama hizi wanazotumia wafunga minara au madish
Hivi,multimeter dukani ni Bei gan?
 
Back
Top Bottom