Jaman kuulza si ujinga hivi TCU wakishafunga dirisha lao huchukua muda gani kuja kutoa majina ya waliopata chuo kwa round ya kwanza...mwenye mawazo au uzoefu!
mimi leo nimefuta machaguo ya vyuo huko tcu na nkaanza kuomba upya.nimeomba HUBERT KAILUKI COZ YA MD BT NIMEKUTA watu 172 wameomba hv mm naweza kupata nafasi kwel ukiangalia nafas zilizopo ni 170. mm nina two ya 10 ya pcb .phy d chem c bios c bam s g.s e...msaada plz
hv jamen mbna ukichange priorty ya vyuo mbn competition haichenj yaan labda umetoa cha kwanza ukaweka cha pili na cha pili ukakiweka cha kwanza mbn idad ya competition haichenj au ndo unakuwa umekosea au uhurusiwi kabsa! msaada plz;!!
habari wanajamvi mm nimemalza f6 mwaka huu na mamshukuru Mungu nimepata div two ya 10 phy d chem c bios c bam s g.s e...nimeomba hv HUBERT KAIRUKI,ST.JOSEPH,CUHAS phamacy,ARCHBISHOP JMS,KCMC kwa optimetry...HAPO VP NAWEZA NKACHAGULIWA CHUO GAN HPO..maana watu wameshanktisha tamaa..ushaur plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.