Search results

  1. DENICE ADRIAN

    Msaada: Naomba kujua vyuo vya private vinavyotoa Diploma ya Ualimu wa sayansi sekondary

    Wana jf naombeni kwa yeyote anaejua au anaesomea au aliesomea diploma ya ualimu wa sayans sekondar anitajie vyuo vya private vinavyotoa hyo kozi.
  2. DENICE ADRIAN

    Natafuta chuo kinachotoa higher diploma ya ualimu wa sayansi, iwe private au govnment

    Nina div. 2 ya pcb ya mwaka 2016. Natafuta chuo wanachofundisha diploma ualimu wa sayansi. Je nitapata wapi chuo na je nitakubaliwa? Msaada plz
  3. DENICE ADRIAN

    HUBERT KAIRUKI MEMORIAL UNVERSITY

    Kwa yeyote anayesomea hkmu md naomba anitumie namb ake.au kama una mfahamu mtu anaesomea pale HKMU naomb unipe no. Ake
  4. DENICE ADRIAN

    Bachelor of science in optometry inahusu nini jameni....??

    Msaaada jameni hii bcs.optometry ya kcmc inahusu nn?
  5. DENICE ADRIAN

    St.JOSEPH COLLEGE OF HEALTH

    Hv ni kwl st.joseph collegw of health wameshaanza kuwaatarifu kwa sms wanafunzi waliochgliwa hpo kwa coz za degrii???
  6. DENICE ADRIAN

    Selection za chuo kwa first round zitachukua muda gani kutoka?

    Jaman kuulza si ujinga hivi TCU wakishafunga dirisha lao huchukua muda gani kuja kutoa majina ya waliopata chuo kwa round ya kwanza...mwenye mawazo au uzoefu!
  7. DENICE ADRIAN

    Msaada wa machaguo ya vyuo TCU

    mimi leo nimefuta machaguo ya vyuo huko tcu na nkaanza kuomba upya.nimeomba HUBERT KAILUKI COZ YA MD BT NIMEKUTA watu 172 wameomba hv mm naweza kupata nafasi kwel ukiangalia nafas zilizopo ni 170. mm nina two ya 10 ya pcb .phy d chem c bios c bam s g.s e...msaada plz
  8. DENICE ADRIAN

    Kozi gani ya afya yenye soko hapa Tanzania tofauti na MD?

    wanajvi naombeni kujua coz zenye soko za afya tofauti na md
  9. DENICE ADRIAN

    Vyuo vinavyotoa bachelor ya pharmacy

    ni vyuo vp hpa tz,private au govnt ambavyo vinatoa bach.of pharmacy hpa tz ni vp?
  10. DENICE ADRIAN

    Hivi ukibadili priority ya vyuo, mbona idadi ya competition ya wanafunzi haibadliki?

    hv jamen mbna ukichange priorty ya vyuo mbn competition haichenj yaan labda umetoa cha kwanza ukaweka cha pili na cha pili ukakiweka cha kwanza mbn idad ya competition haichenj au ndo unakuwa umekosea au uhurusiwi kabsa! msaada plz;!!
  11. DENICE ADRIAN

    MSAADA JAMANI JUU YA COZ YA MD KWA HV VYUO

    habari wanajamvi mm nimemalza f6 mwaka huu na mamshukuru Mungu nimepata div two ya 10 phy d chem c bios c bam s g.s e...nimeomba hv HUBERT KAIRUKI,ST.JOSEPH,CUHAS phamacy,ARCHBISHOP JMS,KCMC kwa optimetry...HAPO VP NAWEZA NKACHAGULIWA CHUO GAN HPO..maana watu wameshanktisha tamaa..ushaur plz
  12. DENICE ADRIAN

    HUBERT KAIRUKI MEMORIAL UNIVERSTY

    jaman wana jf naomba kujua fee stcture,mazngra,academic status,admission criteria,ya chuo cha kairuki kwa upande wa m.d..
  13. DENICE ADRIAN

    Naomba fee structure ya St. Joseph University College of Health and Allied Science

    Wakuu tafadhali aliye na hiyo fee structure anitumie. Naomba msaada.
  14. DENICE ADRIAN

    Hivi ukishaprint hiyo fomu ya TCU huwezi kuedit?

    jamen hv ukishaprint hyo fom huruhusiwi kuedit au kubadili vyuo?
  15. DENICE ADRIAN

    MD St Joseph ikoje!

    Jamani napenda kujua MD pale St Joseph iko vipi? maticha wapo? Vipi maabara za maana wanazo? Na ina muda gani hiyo coz toka imefunguliwa!
  16. DENICE ADRIAN

    Hivi kuna sehemu ya kuconfirm ukishachagua chuo?

    Msaada plz, Hivi ukishamaliza kujaza vyuo kuna sehemu ya kukonfirm au ndo umemaliza?
  17. DENICE ADRIAN

    Waliokuwa wanategemea MD UDOM, SFCUHAS IMTU tukutane hapa tuone la kufanya

    Kwa wale waliotegemea hivo vyuo kwa ajili ya kuaply MD, SasA vyuo hivo vimezuiliwa kupokea wanafunzi wa MD mwaka huu...vipi nin tufanye...????
  18. DENICE ADRIAN

    Sijaelewa UDOM kufungiwa udahili wa wanafunzi mwaka huu

    Hivi serikali ina lengo gani kufunga admission ya MD UDOM (SFCUHAS). Je inataka ipunguze idadi ya madaktar au? Msaada plz.
  19. DENICE ADRIAN

    Je UDOM kuna kozi ya pharmacy?

    Habarini wakuu, Hivi jamani UDOM wanatoa bachelor ya phamacy??? Msaada plz
  20. DENICE ADRIAN

    App ambayo inabadili mwandiko wa simu

    Naomba kujua app ambayo inabadili mwandiko wa simu
Back
Top Bottom