DENICE ADRIAN
Senior Member
- Feb 14, 2014
- 127
- 30
Kwa wale waliotegemea hivo vyuo kwa ajili ya kuaply MD, SasA vyuo hivo vimezuiliwa kupokea wanafunzi wa MD mwaka huu...vipi nin tufanye...????
Kile chenye cut off points 8 kipo pale UpangaNi chuo gani best Tanzania kama nataka kuchukua m.d?
Halafu wanaosoma China wakija bongo wanakuwa bogus sana. Hata waliotoka hapa wakiwa bright huwa hawajui lolote. Sijui huwa wanawapeleka tuvyuo gani.Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six science waliokosa sifa za kujiunga na shahada foundation courses zawaka 1 pia zipo .Karibuni huduma inatolewa bure
We jamaa umenifueahisha sana kwakuonhezea kina hostel zake Masaki pale pembeni ya cocobeachKile chenye cut off points 8 kipo pale Upanga
Mmeshapata fursa sio?Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six science waliokosa sifa za kujiunga na shahada foundation courses zawaka 1 pia zipo .Karibuni huduma inatolewa bure
KCMC, CUHAS unakula shule bila stress ila ongea kwanza na sponsor wako kuhusu pesa, apart from that MUHAS napo ni pazuri sana sema wale wazee wa pale wanapenda kutiana stress: Ze heby na Hernandes wanaelewa hili.Ni chuo gani best Tanzania kama nataka kuchukua m.d?