DENICE ADRIAN Senior Member Feb 14, 2014 127 30 Jul 21, 2016 #1 Hivi serikali ina lengo gani kufunga admission ya MD UDOM (SFCUHAS). Je inataka ipunguze idadi ya madaktar au? Msaada plz.
Hivi serikali ina lengo gani kufunga admission ya MD UDOM (SFCUHAS). Je inataka ipunguze idadi ya madaktar au? Msaada plz.
STALLEY JF-Expert Member May 5, 2012 619 206 Jul 21, 2016 #2 Labda kuna mapungufu ambayo wanatakiwa kuyafanyia kazi kwanza ndo waruhusiwe kudahili wanafunzi