DENICE ADRIAN
Senior Member
- Feb 14, 2014
- 127
- 30
mimi leo nimefuta machaguo ya vyuo huko tcu na nkaanza kuomba upya.nimeomba HUBERT KAILUKI COZ YA MD BT NIMEKUTA watu 172 wameomba hv mm naweza kupata nafasi kwel ukiangalia nafas zilizopo ni 170. mm nina two ya 10 ya pcb .phy d chem c bios c bam s g.s e...msaada plz