DENICE ADRIAN
Senior Member
- Feb 14, 2014
- 127
- 30
wanajvi naombeni kujua coz zenye soko za afya tofauti na md
hiyo inahusu nini na kaz gan mkuuOmba medical lab ni nzuri ,,
hiyo inahusu nini na kaz gan mkuu
Mhudumu wa maabaralabaratory attendant inahusiana na nn na kazi zake ni zipi
Uzuri wa Pharmacy ni ile Leseni! Hasa kwenye kuitumia kwenye maduka ya madawaPharmacy,nursing hiz pia zinaajiri...! Japo pharmcy haiajir kiviile
Wanaitumiaje lesen fafanua kdogo....! Au una maana ya kupiga eraUzuri wa Pharmacy ni ile Leseni! Hasa kwenye kuitumia kwenye maduka ya madawa
Ndio Pharmacy ni nzuri! Kwenye kupiga hela na kila kituWanaitumiaje lesen fafanua kdogo....! Au una maana ya kupiga era
inahusu nin mkuuPhysiotherapy
Wanaitumiaje lesen fafanua kdogo....! Au una maana ya kupiga era
wanajvi naombeni kujua coz zenye soko za afya tofauti na md
Mbali na Medical Doctor(MD) kozi nyingine nzuri za Afya(Zenye uhakika wa moja kwa moja wa Ajira na malipo mazuri ni hizi). Kwa mtitiriko huu
1/Pharmacy.
2/Dental Surgery.
3/Nursing.
4/Laboratory science.
santeeni wakuuDental surgeon wako scale moja na MD,kwa hiyo kama ni mtiririko basi ianze DDS ndio ije Pharmacy
md ya kwanza pharmacy ya pili,lab ,clinical off,Pharmacy,nursing hiz pia zinaajiri...! Japo pharmcy haiajir kiviile